Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

Umeelezea vizuri.
 
Nikiwa darasa la tano, nmelala na mdgo wagu nikastuka ucngzn, mara nahs movement ya mtu chumban. Kuangaza vizur kizan naona mtu kavaa nguo nyeuc anafanya yake.
Alihs c namuona akasogea kama ananichungulia iv.. wee nilijilusha kwa mdogo wang hku nikipa yowe(mamaaaaa).. Harakaharaka nawasha kiberit kuangaza hamna kitu chumban.
HII STOSAHAU MPKA KEXHO
 
Si ungrmpiga dudu kila
Si unge mpiga Dudu tu au alikuwa avutii iyo mama wa rafiki yako
 
Alafu MITA 40 kwenye msitu inamaana iyo sehemu kulikuwa hakuna miti mingine ya kuuzuia uo mti akiwa mbali Hadi Kuona iyo nyau
 
Pole..
 
Acha kula makande usiku Kabla ya kulala.

Hizi hearsay stories zinaaminiwa na watu wajinga tu. Mimi nimewahi kwenda Zanzibar kwa mguu toka DSM ukiwa zwazwa utaamini na siwezi kukupa proof.
Unamaanisha "Utaamini"... au "Hutaamini" Kiswahili sasa shida imagine sisi wenyewe waswahili hatuelewani
 
Unamaanisha "Utaamini"... au "Hutaamini" Kiswahili sasa shida imagine sisi wenyewe waswahili hatuelewani

Ukiwa zwazwa Utaamini nimewahi kwenda Znz kwa mguu toka DSM. Hakuna negation hapo. Nini kigumu kuelewa?
 
Chai
 

Umaskini wa fedha mbaya ila umaskini wa fikra mbaya zaidi.
 
Umaskini wa fedha mbaya ila umaskini wa fikra mbaya zaidi.
Sasa nilete uongo kwa faida Gani nitapata,ww kama huamini basi,IPO siku utakuja kuomba ushauri kwa I'd nyingine kama yakikukuta.
 
Sasa nilete uongo kwa faida Gani nitapata,ww kama huamini basi,IPO siku utakuja kuomba ushauri kwa I'd nyingine kama yakikukuta.

Hakuna sehemu nimekuita muongo. Nimesema umaskini wa fikra mbaya sana, you lack comprehension skill and it clearly shows. No wonder unaamini huu upuuuzi. Carry on.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…