Jinsi nilivyowahi kutapeliwa na wana-JF

Pole mkuu umenichekesha Sana hapo Kwa admin kukimbia group lake ...
Hicho kisa cha pili na Mimi pia yamenikuta kuna mtu alisema anaunda blog tukafanya kazi vizuri niliinvest zaidi ya 250+ kwake kila akitaka kitu nampa cha..
Tatizo kidogo Tu post zimfutika nikimuuliza analeta blaa blaa kibao naanza tena upya mwisho nikagive up Ila jmaa alinikera Sana japo nshamsamehe
 
Developers wa bongo miyeyusho sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…