monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
wandali kwa kupaniki bwana!unahisi kuna mtu anataka kukupiga
Au umeona sehemu nimeandika tufanye biashara na wewe
Hamna alie paniki ila nimeuliza swali tu
Sawa mkuu ni wazo zuri wateja tupo
Umetumia miaka 7 kuweza kujiajiri kwenye duka la vifaa vya simu.
Kule IG kuna mtu ametumia miaka 7 kuengeneza mifereji ya pesa inayomuingizia 70M+ kwa mwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuendi kwa mifano kama hio brother.Umetumia miaka 7 kuweza kujiajiri kwenye duka la vifaa vya simu.
Kule IG kuna mtu ametumia miaka 7 kuengeneza mifereji ya pesa inayomuingizia 70M+ kwa mwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaap naianza tar 1 mpaka kwenye mwezi 7 mrejesho.Hatuendi kwa mifano kama hio brother.
Huyu jamaa atafika mbali sana kwa biashara yake hio.
Kikubwa ni amejiajiri.
Vipi ushapata kazi ya laki mbili uliyokuwa unaitafuta?
Mimi smiliki zaidi ya mibezoWewe habari yako ikoje mkuu?
Yeye ametuletea yake. Ukiweka yako itasaidia wengi badala ya kumbeza.
Mkuu naanza saivi na spare za gx110Sawa mkuu ni wazo zuri wateja tupo
samahani nimemjibia, lakini kuweza tu kujiajiri ni mafanikio tayari kwa upande wangu.Nimafakio gani umepata baada ya kujiajiri tofauti na ulivyoo kuwa umeajiriwa mbali na kumiliki biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuWewe habari yako ikoje mkuu?
Yeye ametuletea yake. Ukiweka yako itasaidia wengi badala ya kumbeza.
Duuh kumbe ndio alikuwa anatafuta kazi ya laki mbili na kiasi ampe atakae mwinganisha kwenye kaziHatuendi kwa mifano kama hio brother.
Huyu jamaa atafika mbali sana kwa biashara yake hio.
Kikubwa ni amejiajiri.
Vipi ushapata kazi ya laki mbili uliyokuwa unaitafuta?
Sawa mkuu
Mkuu watu wanapenda stor ambazo hazina uhalisi ukileta uhalisi wanaanza kubeza tusamahani nimemjibia, lakini kuweza tu kujiajiri ni mafanikio tayari kwa upande wangu.
nami nina ndoto hiyo hiyo kuwa na kujiajiri
Hasara Umfika Mwenye Mabezo
Nini mkuu?
Asante mkuu kwa kujifunza