Jinsi Ninavyofaidi Dunia Yenu

Jinsi Ninavyofaidi Dunia Yenu

Sisa Og

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2024
Posts
201
Reaction score
504
Natumaini hamjambo! Poleni na misiba ya wapendwa wetu - Kariakoo.

Baada ya kukutana na maigizo mengi sana kutoka kwa watu (ndugu, mpenzi, marafiki na jamaa) niliyumba sana. Nilihisi dunia imenigeuka. Kwakweli usaliti ni mwingi sana sana.

Nilianza kutokula na kulala sana. Kuna kipindi kigumu nilipitia, nadhani ni mpango wa kunifanya niwe strong.

Ndani ya mwezi mmoja ndo nilikuja kupoteza rafiki yangu amnaye tangu utotoni mpaka leo 20's tumekuwa wote. Ananijua namjua zaidi ya nduguze. Pia, nikapoteza shemeji yenu ambaye nilikuwa namkubali sana. Mwisho kabisa, nikazinguana na bimkibwa. Tangu nizaliwe mpaka leo naishi maisha yangu ndo nakuja kugundua kuwa anayemjua baba yangu mzazi ni bimkubwa peke yake. Na hii ni baada ya kukorofishana na ndugu. Baada ya kumbana bimkubwa nakuja kujua ukweli lakini huyo baba ameshafariki miaka kadhaa na mamjua. Na mbaya zaidi yule rafiki yangu wa utotoni ambaye haziivi ni mtoto wa huyo baba. Maana yake yule ni ndugu yangu.

Baada ya kuona nazidiwa na stress nilianza kunywa pombe. Na kujifungia ndani. Kuna siku kidogo ziniue. Ndo akili yangu ilirudi na kitafuta njia mpya ya kufurahia hiki kipindi kilichabaki.

  • Nilitengeneza Playlists zangu za kusikiliza. Zilikuwa nyimbo za vibe. Maana niliona nikisikiliza emotional zitanirudisha kule.
  • Nilianza kusoma riwaya kama chizi. Japo ni msomaji mzuri ila muda huu nilizidisha
*Nilianza Meditations kila siku

*Unywaji maji mengi sana

*Ratiba inayoeleweka
Changamoto ilikuwa ni usiku. Maana naishi peke yangu. Upweke

*Nikafuta social media zote (Whatsapp, Insta, nk) sikutaka jua nani anaendeleaje.

SASA
maisha yangu yamebadilika. Na kwakweli nayafurahia. Mpaka watu wananiambia nimebadilika. Haya ndo maisha yangu sasa:
* Nalala na kuamka mapema. Hii inanifanya nijihisi mwenye nguvu muda wote sio kama zamani.

*Nasikiliza mziki. Hii ni tabia yangu ila kuna mabadiliko. Sisikilizi kila wimbo kama zamani. Wimbo wangu pendwa kwa sasa ni Kandaha - Obsession.

*Namaindi harakati zangu. Sina tena muda wa kupiga soga zisizo na maana kama zamani. Hii inanifanya kutokukwaruzana kwenye mazungumzo.

* Nimejikuta mwenye huruma sana. Hii imeongeza wateja kwenye eneo langu la kazi. Maana wateja nawapa extra service tena kwa amani. Zamani nilikuwa natanguliza hela sana.

*Siitaji kupendwa tena na sipendi mtu awe karibu yangu au kuzungumza na mimi nikitoka kazini. Siamini tena kitu kinaitwa mapenzi, hata mama yangu mzazi simuamini bali kumpenda mtu.

*Najiona kama nimeshafanikiwa. Hela zangu zinakaa. Maana sinunui Vocha sana. Situmi hela kwa mwanamke yeyote wala kuspend na marafiki.

* Sipigi ny*to wala kuwaza wanawake. Hata huo muda sina na sina vyanzo.

*Hili la mwisho ndo silielewi. Siko tena emotional. Sicheki, kukasirika labda kutabasamu. Kuna sehem nilienda nikawakuta watu, nikapiga nao story. Kesho yake nilipita pale nikawakuta wote wakanisalimia shikamoo wakati nikicheki ni kama sijawaacha sana. Nilimuuliza jamaa mbona wananisalimia? Jamaa akanisanua kuwa nakaza sana. Yani niko serious muda wote mpaka mtu anahisi unamchunguza.

Asanteni.
 
Natumaini hamjambo! Poleni na misiba ya wapendwa wetu - Kariakoo.

Baada ya kukutana na maigizo mengi sana kutoka kwa watu (ndugu, mpenzi, marafiki na jamaa) niliyumba sana. Nilihisi dunia imenigeuka. Kwakweli usaliti ni mwingi sana sana.

Nilianza kutokula na kulala sana. Kuna kipindi kigumu nilipitia, nadhani ni mpango wa kunifanya niwe strong.

Ndani ya mwezi mmoja ndo nilikuja kupoteza rafiki yangu amnaye tangu utotoni mpaka leo 20's tumekuwa wote. Ananijua namjua zaidi ya nduguze. Pia, nikapoteza shemeji yenu ambaye nilikuwa namkubali sana. Mwisho kabisa, nikazinguana na bimkibwa. Tangu nizaliwe mpaka leo naishi maisha yangu ndo nakuja kugundua kuwa anayemjua baba yangu mzazi ni bimkubwa peke yake. Na hii ni baada ya kukorofishana na ndugu. Baada ya kumbana bimkubwa nakuja kujua ukweli lakini huyo baba ameshafariki miaka kadhaa na mamjua. Na mbaya zaidi yule rafiki yangu wa utotoni ambaye haziivi ni mtoto wa huyo baba. Maana yake yule ni ndugu yangu.

Baada ya kuona nazidiwa na stress nilianza kunywa pombe. Na kujifungia ndani. Kuna siku kidogo ziniue. Ndo akili yangu ilirudi na kitafuta njia mpya ya kufurahia hiki kipindi kilichabaki.

  • Nilitengeneza Playlists zangu za kusikiliza. Zilikuwa nyimbo za vibe. Maana niliona nikisikiliza emotional zitanirudisha kule.
  • Nilianza kusoma riwaya kama chizi. Japo ni msomaji mzuri ila muda huu nilizidisha
*Nilianza Meditations kila siku

*Unywaji maji mengi sana

*Ratiba inayoeleweka
Changamoto ilikuwa ni usiku. Maana naishi peke yangu. Upweke

*Nikafuta social media zote (Whatsapp, Insta, nk) sikutaka jua nani anaendeleaje.

SASA
maisha yangu yamebadilika. Na kwakweli nayafurahia. Mpaka watu wananiambia nimebadilika. Haya ndo maisha yangu sasa:
* Nalala na kuamka mapema. Hii inanifanya nijihisi mwenye nguvu muda wote sio kama zamani.

*Nasikiliza mziki. Hii ni tabia yangu ila kuna mabadiliko. Sisikilizi kila wimbo kama zamani. Wimbo wangu pendwa kwa sasa ni Kandaha - Obsession.

*Namaindi harakati zangu. Sina tena muda wa kupiga soga zisizo na maana kama zamani. Hii inanifanya kutokukwaruzana kwenye mazungumzo.

* Nimejikuta mwenye huruma sana. Hii imeongeza wateja kwenye eneo langu la kazi. Maana wateja nawapa extra service tena kwa amani. Zamani nilikuwa natanguliza hela sana.

*Siitaji kupendwa tena na sipendi mtu awe karibu yangu au kuzungumza na mimi nikitoka kazini. Siamini tena kitu kinaitwa mapenzi, hata mama yangu mzazi simuamini bali kumpenda mtu.

*Najiona kama nimeshafanikiwa. Hela zangu zinakaa. Maana sinunui Vocha sana. Situmi hela kwa mwanamke yeyote wala kuspend na marafiki.

* Sipigi ny*to wala kuwaza wanawake. Hata huo muda sina na sina vyanzo.

*Hili la mwisho ndo silielewi. Siko tena emotional. Sicheki, kukasirika labda kutabasamu. Kuna sehem nilienda nikawakuta watu, nikapiga nao story. Kesho yake nilipita pale nikawakuta wote wakanisalimia shikamoo wakati nikicheki ni kama sijawaacha sana. Nilimuuliza jamaa mbona wananisalimia? Jamaa akanisanua kuwa nakaza sana. Yani niko serious muda wote mpaka mtu anahisi unamchunguza.

Asanteni.
Mkuu hongera lakini umesema ndio kwanza Mwezi mmoja tu.
 
Meditation inakusaidia vipi kwa hivyo ulivyokuwa?

Kingine una amani na hivyo ulivyo ama bora lizame?
 
Watoa siri ni wazee... Ukiona ni kijana alafu unaongea hovyo, moja kwa moja tunajua ni mwezi mchanga.
 
Meditation inatuliza akili. Zipo za aina nyingi hasa ya kujitafakari ni nzuri pia. Nafurahia hii hali na natamani iendelee
Kila la kheri
Ila hapo kwenye kutuliza akili umejuaje una akili?
 
Enjoy maisha dogo. Wekeza akil zako kwenye kile kinachokupa furaha na amani ya moyo.

Kitambulisho cha upigaji kura n muhim lkn.
 
Natumaini hamjambo! Poleni na misiba ya wapendwa wetu - Kariakoo.

Baada ya kukutana na maigizo mengi sana kutoka kwa watu (ndugu, mpenzi, marafiki na jamaa) niliyumba sana. Nilihisi dunia imenigeuka. Kwakweli usaliti ni mwingi sana sana.

Nilianza kutokula na kulala sana. Kuna kipindi kigumu nilipitia, nadhani ni mpango wa kunifanya niwe strong.

Ndani ya mwezi mmoja ndo nilikuja kupoteza rafiki yangu amnaye tangu utotoni mpaka leo 20's tumekuwa wote. Ananijua namjua zaidi ya nduguze. Pia, nikapoteza shemeji yenu ambaye nilikuwa namkubali sana. Mwisho kabisa, nikazinguana na bimkibwa. Tangu nizaliwe mpaka leo naishi maisha yangu ndo nakuja kugundua kuwa anayemjua baba yangu mzazi ni bimkubwa peke yake. Na hii ni baada ya kukorofishana na ndugu. Baada ya kumbana bimkubwa nakuja kujua ukweli lakini huyo baba ameshafariki miaka kadhaa na mamjua. Na mbaya zaidi yule rafiki yangu wa utotoni ambaye haziivi ni mtoto wa huyo baba. Maana yake yule ni ndugu yangu.

Baada ya kuona nazidiwa na stress nilianza kunywa pombe. Na kujifungia ndani. Kuna siku kidogo ziniue. Ndo akili yangu ilirudi na kitafuta njia mpya ya kufurahia hiki kipindi kilichabaki.

  • Nilitengeneza Playlists zangu za kusikiliza. Zilikuwa nyimbo za vibe. Maana niliona nikisikiliza emotional zitanirudisha kule.
  • Nilianza kusoma riwaya kama chizi. Japo ni msomaji mzuri ila muda huu nilizidisha
*Nilianza Meditations kila siku

*Unywaji maji mengi sana

*Ratiba inayoeleweka
Changamoto ilikuwa ni usiku. Maana naishi peke yangu. Upweke

*Nikafuta social media zote (Whatsapp, Insta, nk) sikutaka jua nani anaendeleaje.

SASA
maisha yangu yamebadilika. Na kwakweli nayafurahia. Mpaka watu wananiambia nimebadilika. Haya ndo maisha yangu sasa:
* Nalala na kuamka mapema. Hii inanifanya nijihisi mwenye nguvu muda wote sio kama zamani.

*Nasikiliza mziki. Hii ni tabia yangu ila kuna mabadiliko. Sisikilizi kila wimbo kama zamani. Wimbo wangu pendwa kwa sasa ni Kandaha - Obsession.

*Namaindi harakati zangu. Sina tena muda wa kupiga soga zisizo na maana kama zamani. Hii inanifanya kutokukwaruzana kwenye mazungumzo.

* Nimejikuta mwenye huruma sana. Hii imeongeza wateja kwenye eneo langu la kazi. Maana wateja nawapa extra service tena kwa amani. Zamani nilikuwa natanguliza hela sana.

*Siitaji kupendwa tena na sipendi mtu awe karibu yangu au kuzungumza na mimi nikitoka kazini. Siamini tena kitu kinaitwa mapenzi, hata mama yangu mzazi simuamini bali kumpenda mtu.

*Najiona kama nimeshafanikiwa. Hela zangu zinakaa. Maana sinunui Vocha sana. Situmi hela kwa mwanamke yeyote wala kuspend na marafiki.

* Sipigi ny*to wala kuwaza wanawake. Hata huo muda sina na sina vyanzo.

*Hili la mwisho ndo silielewi. Siko tena emotional. Sicheki, kukasirika labda kutabasamu. Kuna sehem nilienda nikawakuta watu, nikapiga nao story. Kesho yake nilipita pale nikawakuta wote wakanisalimia shikamoo wakati nikicheki ni kama sijawaacha sana. Nilimuuliza jamaa mbona wananisalimia? Jamaa akanisanua kuwa nakaza sana. Yani niko serious muda wote mpaka mtu anahisi unamchunguza.

Asanteni.
Hongera
 
Walau umepunguza kujari vitu vya kijinga
 
Natumaini hamjambo! Poleni na misiba ya wapendwa wetu - Kariakoo.

Baada ya kukutana na maigizo mengi sana kutoka kwa watu (ndugu, mpenzi, marafiki na jamaa) niliyumba sana. Nilihisi dunia imenigeuka. Kwakweli usaliti ni mwingi sana sana.

Nilianza kutokula na kulala sana. Kuna kipindi kigumu nilipitia, nadhani ni mpango wa kunifanya niwe strong.

Ndani ya mwezi mmoja ndo nilikuja kupoteza rafiki yangu amnaye tangu utotoni mpaka leo 20's tumekuwa wote. Ananijua namjua zaidi ya nduguze. Pia, nikapoteza shemeji yenu ambaye nilikuwa namkubali sana. Mwisho kabisa, nikazinguana na bimkibwa. Tangu nizaliwe mpaka leo naishi maisha yangu ndo nakuja kugundua kuwa anayemjua baba yangu mzazi ni bimkubwa peke yake. Na hii ni baada ya kukorofishana na ndugu. Baada ya kumbana bimkubwa nakuja kujua ukweli lakini huyo baba ameshafariki miaka kadhaa na mamjua. Na mbaya zaidi yule rafiki yangu wa utotoni ambaye haziivi ni mtoto wa huyo baba. Maana yake yule ni ndugu yangu.

Baada ya kuona nazidiwa na stress nilianza kunywa pombe. Na kujifungia ndani. Kuna siku kidogo ziniue. Ndo akili yangu ilirudi na kitafuta njia mpya ya kufurahia hiki kipindi kilichabaki.

  • Nilitengeneza Playlists zangu za kusikiliza. Zilikuwa nyimbo za vibe. Maana niliona nikisikiliza emotional zitanirudisha kule.
  • Nilianza kusoma riwaya kama chizi. Japo ni msomaji mzuri ila muda huu nilizidisha
*Nilianza Meditations kila siku

*Unywaji maji mengi sana

*Ratiba inayoeleweka
Changamoto ilikuwa ni usiku. Maana naishi peke yangu. Upweke

*Nikafuta social media zote (Whatsapp, Insta, nk) sikutaka jua nani anaendeleaje.

SASA
maisha yangu yamebadilika. Na kwakweli nayafurahia. Mpaka watu wananiambia nimebadilika. Haya ndo maisha yangu sasa:
* Nalala na kuamka mapema. Hii inanifanya nijihisi mwenye nguvu muda wote sio kama zamani.

*Nasikiliza mziki. Hii ni tabia yangu ila kuna mabadiliko. Sisikilizi kila wimbo kama zamani. Wimbo wangu pendwa kwa sasa ni Kandaha - Obsession.

*Namaindi harakati zangu. Sina tena muda wa kupiga soga zisizo na maana kama zamani. Hii inanifanya kutokukwaruzana kwenye mazungumzo.

* Nimejikuta mwenye huruma sana. Hii imeongeza wateja kwenye eneo langu la kazi. Maana wateja nawapa extra service tena kwa amani. Zamani nilikuwa natanguliza hela sana.

*Siitaji kupendwa tena na sipendi mtu awe karibu yangu au kuzungumza na mimi nikitoka kazini. Siamini tena kitu kinaitwa mapenzi, hata mama yangu mzazi simuamini bali kumpenda mtu.

*Najiona kama nimeshafanikiwa. Hela zangu zinakaa. Maana sinunui Vocha sana. Situmi hela kwa mwanamke yeyote wala kuspend na marafiki.

* Sipigi ny*to wala kuwaza wanawake. Hata huo muda sina na sina vyanzo.

*Hili la mwisho ndo silielewi. Siko tena emotional. Sicheki, kukasirika labda kutabasamu. Kuna sehem nilienda nikawakuta watu, nikapiga nao story. Kesho yake nilipita pale nikawakuta wote wakanisalimia shikamoo wakati nikicheki ni kama sijawaacha sana. Nilimuuliza jamaa mbona wananisalimia? Jamaa akanisanua kuwa nakaza sana. Yani niko serious muda wote mpaka mtu anahisi unamchunguza.

Asanteni.
Coping mechanism
 
Ngoja nipite humu. Ila JF sijui kama nitaiacha.
Halafu, naomba muongozo kuhusu meditation
 
Back
Top Bottom