Jinsi ninavyopunguza uzito na mafuta ya mnyonyo

Jinsi ninavyopunguza uzito na mafuta ya mnyonyo

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.

Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.

Ili kupunguza uzito basi hutumia mafuta ya mnyonyo nakunywa kijiko kimoja kwa wiki mara mbili nalamba na ndimu na baada ya muda nakunywa maji vuguvugu.

Sasa huu mziki nilianza nao jana jamani niliharisha ila haikuwa sana.

Nilivyo mbishi nikaamka nao tena nikanywa tena leo aisee nimeharisha mara nyingi.

Ikumbukwe kuwa ukinywa haya mafuta usitoke kwenda mahali ukae ndani.

Usisahau pia kunywa maji kwa wingi ila ya uvuguvugu ili uchafu utoke.

Na ukitaka kukata kunywa maji baridi...


Sasa hapa najipa wiki 2 tu narudia kamwili kangu kazuri...

Hata kama hupunguzi uzito unaweza ukawa unakunywa kwa kusafisha tumbo

NB: kama unajua unamatatizo ya kupungukiwa maji au unamagonjwa makubwa usinywe...

Nitaleta mrejesho
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.

Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.

Ili kupunguza uzito basi hutumia mafuta ya mnyonyo nakunywa kijiko kimoja kwa wiki mara mbili nalamba na ndimu na baada ya muda nakunywa maji vuguvugu.

Sasa huu mziki nilianza nao jana jamani niliharisha ila haikuwa sana.

Nilivyo mbishi nikaamka nao tena nikanywa tena leo aisee nimeharisha mara nyingi.

Ikumbukwe kuwa ukinywa haya mafuta usitoke kwenda mahali ukae ndani.

Usisahau pia kunywa maji kwa wingi ila ya uvuguvugu ili uchafu utoke.

Na ukitaka kukata kunywa maji baridi...


Sasa hapa najipa wiki 2 tu narudia kamwili kangu kazuri...

Hata kama hupunguzi uzito unaweza ukawa unakunywa kwa kusafisha tumbo

NB: kama unajua unamatatizo ya kupungukiwa maji au unamagonjwa makubwa usinywe...

Nitaleta mrejesho
Ulifanikisha kupungua kilo ngapi
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.

Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.

Ili kupunguza uzito basi hutumia mafuta ya mnyonyo nakunywa kijiko kimoja kwa wiki mara mbili nalamba na ndimu na baada ya muda nakunywa maji vuguvugu.

Sasa huu mziki nilianza nao jana jamani niliharisha ila haikuwa sana.

Nilivyo mbishi nikaamka nao tena nikanywa tena leo aisee nimeharisha mara nyingi.

Ikumbukwe kuwa ukinywa haya mafuta usitoke kwenda mahali ukae ndani.

Usisahau pia kunywa maji kwa wingi ila ya uvuguvugu ili uchafu utoke.

Na ukitaka kukata kunywa maji baridi...


Sasa hapa najipa wiki 2 tu narudia kamwili kangu kazuri...

Hata kama hupunguzi uzito unaweza ukawa unakunywa kwa kusafisha tumbo

NB: kama unajua unamatatizo ya kupungukiwa maji au unamagonjwa makubwa usinywe...

Nitaleta mrejesho
𝐮𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐭𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐜𝐡𝐚𝐟𝐮 𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐡𝐚𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐟𝐮𝐭𝐚
 
Naomba picha ya hayo mafuta dear
𝐧𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐩𝐡𝐚𝐫𝐦𝐚𝐜𝐲 𝐮𝐤𝐢𝐧𝐲𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐮𝐝𝐡𝐚𝐢𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐭𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢. 𝐔𝐬𝐢𝐧𝐲𝐰𝐞 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐣𝐢𝐤𝐨 𝐯𝐢𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐢 𝐬𝐮𝐦𝐮 𝐩𝐢𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐢𝐳𝐢𝐝𝐢 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢𝐧𝐢.
JPEG_20231020_212303_2561885316790775175.jpg
 
𝐧𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐩𝐡𝐚𝐫𝐦𝐚𝐜𝐲 𝐮𝐤𝐢𝐧𝐲𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐮𝐝𝐡𝐚𝐢𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐭𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢. 𝐔𝐬𝐢𝐧𝐲𝐰𝐞 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐣𝐢𝐤𝐨 𝐯𝐢𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐢 𝐬𝐮𝐦𝐮 𝐩𝐢𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐢𝐳𝐢𝐝𝐢 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢𝐧𝐢.View attachment 2787610
Hivi ndo hayo hayo ya kupaka? Natumia app Pic haifunguki
 
Funga/kushunda njaa mchana ndo njia bora ya kupunguza mwili....uku ukimentain chakula unachokula..
 
𝐧𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐩𝐡𝐚𝐫𝐦𝐚𝐜𝐲 𝐮𝐤𝐢𝐧𝐲𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐮𝐝𝐡𝐚𝐢𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐭𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢. 𝐔𝐬𝐢𝐧𝐲𝐰𝐞 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐣𝐢𝐤𝐨 𝐯𝐢𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐢 𝐬𝐮𝐦𝐮 𝐩𝐢𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐢𝐳𝐢𝐝𝐢 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢𝐧𝐢.View attachment 2787610
Kijiko ni kimoja tu...

Kwa wiki mara 2
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.

Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.

Ili kupunguza uzito basi hutumia mafuta ya mnyonyo nakunywa kijiko kimoja kwa wiki mara mbili nalamba na ndimu na baada ya muda nakunywa maji vuguvugu.

Sasa huu mziki nilianza nao jana jamani niliharisha ila haikuwa sana.

Nilivyo mbishi nikaamka nao tena nikanywa tena leo aisee nimeharisha mara nyingi.

Ikumbukwe kuwa ukinywa haya mafuta usitoke kwenda mahali ukae ndani.

Usisahau pia kunywa maji kwa wingi ila ya uvuguvugu ili uchafu utoke.

Na ukitaka kukata kunywa maji baridi...


Sasa hapa najipa wiki 2 tu narudia kamwili kangu kazuri...

Hata kama hupunguzi uzito unaweza ukawa unakunywa kwa kusafisha tumbo

NB: kama unajua unamatatizo ya kupungukiwa maji au unamagonjwa makubwa usinywe...

Nitaleta mrejesho
Atoto kinyonyo njoo huku 🤣🤣😬
 
Tatizo si unene bali ni ulafi; usipo acha ulafi utaharisha sana na kamwe huwezi kupungua uzito.

Yanini kurisk afya yako kwa kuharisha, wakati unaweza kupungua uzito kwa kupunguza na kucontrol chakula unachoweka mwilini?
 
Tatizo si unene bali ni ulafi; usipo acha urafi utaharisha sana na kamwe huwezi kupungua uzito.

Yanini kurisk afya yako kwa kuharisha, wakati unaweza kupungua uzito kwa kupunguza na kucontrol chakula unachoweka mwilini?
Unene mwingine ni asili Wala sio kula, tunajubana wapi hatupungui...
 
Tatizo si unene bali ni ulafi; usipo acha urafi utaharisha sana na kamwe huwezi kupungua uzito.

Yanini kurisk afya yako kwa kuharisha, wakati unaweza kupungua uzito kwa kupunguza na kucontrol chakula unachoweka mwilini?
Hakika umenena,unaweza hata kupoteza maisha kwa kuharisha sababu maji mwilini hupungua sana ,kuacha vyakula vya wanga na sukari ndio njia yangu salama niitumiayo kupunguza uzito
 
Back
Top Bottom