Jinsi ninavyopunguza uzito na mafuta ya mnyonyo

Unene mwingine ni asili Wala sio kula, tunajubana wapi hatupungui...
Unene wa asili? There is no such thing.

Unene tafsiri yake ni chakula cha ziada kilicho kosa kazi mwilini, Hivyo! as long as unaendelea kula bila kuchukua tahadhari huwezi tatua tatizo.
 
Kuharisha kwake balaa.
 
Kijiko ni kimoja tu...

Kwa wiki mara 2
vijiko viwili at once alafu unywe supu au uji hapo hapo wacha wee usitoke karibu na choo kwa muda wa masaa mawili + yaani fanya siku ambayo sio ya safari maana utaaibika. Na ukienda sio kwa sauti hiyo mara ๐๐š๐ซ๐š๐œ๐ก๐š๐œ๐ก๐š๐š๐š๐š, ๐œ๐ก๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข, ๐ฉ๐š๐ซ๐š๐ฉ๐š๐ซ๐š๐ฉ๐š๐ซ๐š๐ฉ๐š๐ซ๐š, ๐ฉ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ก! ๐ฉ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ก!๐ฉ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ก! ๐ฉ๐ฐ๐š๐š๐š๐š๐š! ๐ฉ๐ซ๐ข๐œ๐ก๐ข ๐ฉ๐ซ๐ข๐œ๐ก๐ข ๐ฉ๐ซ๐ข๐œ๐ก๐ข ๐ฉ๐ซ๐ข๐œ๐ก๐ข ๐ค๐ข๐ข๐Ÿ๐ฎ ๐ค๐ข๐ข๐Ÿ๐ฎ ๐ญ๐จ๐จ๐Ÿ๐ฎ ๐ญ๐จ๐จ๐Ÿ๐ฎ ๐ญ๐จ๐จ๐Ÿ๐ฎ. ๐๐ฃ๐จ๐จ ๐๐Œ ๐ง๐ค๐ฎ๐š๐ฆ๐›๐ข๐ž
 
Haya mafuta ya mnyonyo yapo ya aina nyingi, Kuna ya nywele pia, hivyo inabidi uende pharmacy ndio yanauzwa haya ya kunywa...
๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐ฉ๐ข๐œ๐ก๐š ๐ก๐š๐ฉ๐จ ๐ฃ๐ฎ๐ฎ, ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ง๐ข ๐๐š๐ฐ๐š ๐ง๐ฒ๐ฐ๐ž๐ฅ๐ž ๐ฉ๐ข๐š ๐ก๐ฎ๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ก๐š๐๐ข ๐ฎ๐ฉ๐š๐ซ๐š
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we kweli unajua balaa lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ