Jinsi pikipiki za CCM zilivyowagawa wanaccm majimboni

Jinsi pikipiki za CCM zilivyowagawa wanaccm majimboni

Nyamesocho

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2023
Posts
487
Reaction score
1,287
Siku za hivi karibuni tumeona makatibu wa chama kwenye kata wakipewa pikipiki maeneo mbalimbali Tanzania

Hata hivyo mgao huo umejenga chuki na makundi kwa wanaccm wenyewe kwa wenyewe

Madai ya chuki
Wengi wanadai kuwa kitendo cha kuwapa baadhi yao pikipiki ni cha ubaguzi kwani na wao ni wanaccm tangu zamani na hawajawahi kupata chochote

"Kuna wanaccm wanaotambulika wengine hatutambuliki,kumpa mtu pikipiki bure yenye thamani ya milioni tatu na leseni juu huku wengine hatuna kitu ni ubaguzi na inaonesha hatutambuliki na sasa wakisema tunawahitaji wanaccm kwa jambo fulani waende waliopewa pikipiki na si vinginevyo: Alimaliza kuongea mwananchi huyo maeneo ya Rorya

Naye mwenyekiti wa ccm kata fulani hapa Rorya alisema" ccm imerudia makosa yale iliyokuwa inayafanya zamani kupitia mavazi na kanga kugawia watu fulani
kwenye chama na kuwaacha wengine ilileta ubaguzi na makundi ambapo wakaona sasa ina athari wakaamua kuuza badala ya kutoa bure na sasa wamerudi kule kule ngoja tuone"

mkazi wa Kijiji cha Sokolaboro Rorya yeye anashauri badala ya ccm kugawa pikipiki ingezileta kisha kutangaza kuziuza kwa wanaccm kwa bei nafuu isingeleta maneno mengi na nzuri zaidi ccm ingeleta vitanda kwenye zahanati zetu kwa kila kata ambapo mwanaccm angeenda angelala,CHADEMA angelala na asiye na chama angelala kuliko kuwapa watu fulani mapikipiki"
 
Hadithi ni nzuri na ina mafunzo ila imejaa majungu ukianza kusoma dibaji tu mtunzi ana maumivu ya kukosa pikipiki ya kutafutia michepuko!
Ingia mtaani hoji wanaccm ,acha porojo,hoji wanaccm wenyewe,na hii kitu imewahi kuwatokea kipindi cha nyuma kwenye sare za chama
 
Siku za hivi karibuni tumeona makatibu wa chama kwenye kata wakipewa pikipiki maeneo mbalimbali Tanzania

Hata hivyo mgao huo umejenga chuki na makundi kwa wanaccm wenyewe kwa wenyewe

Madai ya chuki
Wengi wanadai kuwa kitendo cha kuwapa baadhi yao pikipiki ni cha ubaguzi kwani na wao ni wanaccm tangu zamani na hawajawahi kupata chochote

"Kuna wanaccm wanaotambulika wengine hatutambuliki,kumpa mtu pikipiki bure yenye thamani ya milioni tatu na leseni juu huku wengine hatuna kitu ni ubaguzi na inaonesha hatutambuliki na sasa wakisema tunawahitaji wanaccm kwa jambo fulani waende waliopewa pikipiki na si vinginevyo: Alimaliza kuongea mwananchi huyo maeneo ya Rorya

Naye mwenyekiti wa ccm kata fulani hapa Rorya alisema" ccm imerudia makosa yale iliyokuwa inayafanya zamani kupitia mavazi na kanga kugawia watu fulani
kwenye chama na kuwaacha wengine ilileta ubaguzi na makundi ambapo wakaona sasa ina athari wakaamua kuuza badala ya kutoa bure na sasa wamerudi kule kule ngoja tuone"

mkazi wa Kijiji cha Sokolaboro Rorya yeye anashauri badala ya ccm kugawa pikipiki ingezileta kisha kutangaza kuziuza kwa wanaccm kwa bei nafuu isingeleta maneno mengi na nzuri zaidi ccm ingeleta vitanda kwenye zahanati zetu kwa kila kata ambapo mwanaccm angeenda angelala,CHADEMA angelala na asiye na chama angelala kuliko kuwapa watu fulani mapikipiki"
Asee sokolaboro
 
Hadithi ni nzuri na ina mafunzo ila imejaa majungu ukianza kusoma dibaji tu mtunzi ana maumivu ya kukosa pikipiki ya kutafutia michepuko!
Hapo bado hawajaanza kulogana, mali ya dhuluma ndio ilivyo, wataanza kupukutika kwa ajali
 
Siku za hivi karibuni tumeona makatibu wa chama kwenye kata wakipewa pikipiki maeneo mbalimbali Tanzania

Hata hivyo mgao huo umejenga chuki na makundi kwa wanaccm wenyewe kwa wenyewe

Madai ya chuki
Wengi wanadai kuwa kitendo cha kuwapa baadhi yao pikipiki ni cha ubaguzi kwani na wao ni wanaccm tangu zamani na hawajawahi kupata chochote

"Kuna wanaccm wanaotambulika wengine hatutambuliki,kumpa mtu pikipiki bure yenye thamani ya milioni tatu na leseni juu huku wengine hatuna kitu ni ubaguzi na inaonesha hatutambuliki na sasa wakisema tunawahitaji wanaccm kwa jambo fulani waende waliopewa pikipiki na si vinginevyo: Alimaliza kuongea mwananchi huyo maeneo ya Rorya

Naye mwenyekiti wa ccm kata fulani hapa Rorya alisema" ccm imerudia makosa yale iliyokuwa inayafanya zamani kupitia mavazi na kanga kugawia watu fulani
kwenye chama na kuwaacha wengine ilileta ubaguzi na makundi ambapo wakaona sasa ina athari wakaamua kuuza badala ya kutoa bure na sasa wamerudi kule kule ngoja tuone"

mkazi wa Kijiji cha Sokolaboro Rorya yeye anashauri badala ya ccm kugawa pikipiki ingezileta kisha kutangaza kuziuza kwa wanaccm kwa bei nafuu isingeleta maneno mengi na nzuri zaidi ccm ingeleta vitanda kwenye zahanati zetu kwa kila kata ambapo mwanaccm angeenda angelala,CHADEMA angelala na asiye na chama angelala kuliko kuwapa watu fulani mapikipiki"

Kwa hayo maeneo sishangai hilo na bado hayo maradhi yatazidi kushamiri kila sehem nchi hii

Chama kilisharudi kwa wenyewe

Na bila kurudi kwa wenyewe hakiwezi himili siasa za haki na usawa
 
Siku za hivi karibuni tumeona makatibu wa chama kwenye kata wakipewa pikipiki maeneo mbalimbali Tanzania

Hata hivyo mgao huo umejenga chuki na makundi kwa wanaccm wenyewe kwa wenyewe

Madai ya chuki
Wengi wanadai kuwa kitendo cha kuwapa baadhi yao pikipiki ni cha ubaguzi kwani na wao ni wanaccm tangu zamani na hawajawahi kupata chochote

"Kuna wanaccm wanaotambulika wengine hatutambuliki,kumpa mtu pikipiki bure yenye thamani ya milioni tatu na leseni juu huku wengine hatuna kitu ni ubaguzi na inaonesha hatutambuliki na sasa wakisema tunawahitaji wanaccm kwa jambo fulani waende waliopewa pikipiki na si vinginevyo: Alimaliza kuongea mwananchi huyo maeneo ya Rorya

Naye mwenyekiti wa ccm kata fulani hapa Rorya alisema" ccm imerudia makosa yale iliyokuwa inayafanya zamani kupitia mavazi na kanga kugawia watu fulani
kwenye chama na kuwaacha wengine ilileta ubaguzi na makundi ambapo wakaona sasa ina athari wakaamua kuuza badala ya kutoa bure na sasa wamerudi kule kule ngoja tuone"

mkazi wa Kijiji cha Sokolaboro Rorya yeye anashauri badala ya ccm kugawa pikipiki ingezileta kisha kutangaza kuziuza kwa wanaccm kwa bei nafuu isingeleta maneno mengi na nzuri zaidi ccm ingeleta vitanda kwenye zahanati zetu kwa kila kata ambapo mwanaccm angeenda angelala,CHADEMA angelala na asiye na chama angelala kuliko kuwapa watu fulani mapikipiki"

Hao watu wanachanganya Mahesabu .... CCM haina hiyo hela ya kugawa Pikipiki. Hiyo hela ni ya ADUL na Mama yake. Swali kuwa wameitia wapi hela ya kufa mtu kama hiyo ...... Tukifikiria ni kwa Wajomba nadhani hatutakuwa tumekosea.
 
Siku za hivi karibuni tumeona makatibu wa chama kwenye kata wakipewa pikipiki maeneo mbalimbali Tanzania

Hata hivyo mgao huo umejenga chuki na makundi kwa wanaccm wenyewe kwa wenyewe

Madai ya chuki
Wengi wanadai kuwa kitendo cha kuwapa baadhi yao pikipiki ni cha ubaguzi kwani na wao ni wanaccm tangu zamani na hawajawahi kupata chochote

"Kuna wanaccm wanaotambulika wengine hatutambuliki,kumpa mtu pikipiki bure yenye thamani ya milioni tatu na leseni juu huku wengine hatuna kitu ni ubaguzi na inaonesha hatutambuliki na sasa wakisema tunawahitaji wanaccm kwa jambo fulani waende waliopewa pikipiki na si vinginevyo: Alimaliza kuongea mwananchi huyo maeneo ya Rorya

Naye mwenyekiti wa ccm kata fulani hapa Rorya alisema" ccm imerudia makosa yale iliyokuwa inayafanya zamani kupitia mavazi na kanga kugawia watu fulani
kwenye chama na kuwaacha wengine ilileta ubaguzi na makundi ambapo wakaona sasa ina athari wakaamua kuuza badala ya kutoa bure na sasa wamerudi kule kule ngoja tuone"

mkazi wa Kijiji cha Sokolaboro Rorya yeye anashauri badala ya ccm kugawa pikipiki ingezileta kisha kutangaza kuziuza kwa wanaccm kwa bei nafuu isingeleta maneno mengi na nzuri zaidi ccm ingeleta vitanda kwenye zahanati zetu kwa kila kata ambapo mwanaccm angeenda angelala,CHADEMA angelala na asiye na chama angelala kuliko kuwapa watu fulani mapikipiki"
nayo ni habari au ni ujinga
 
Hizi sio za ccm bali ni za mwenye picha na jina lake
 
Wanafedha za kununua PIKIPIKI wakati dawa hakuna hospital
 
Back
Top Bottom