Jinsi Simba ilivyofanyiwa unyanyasaji wa Libolo ya Angola

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Heshima kwenu wadau. Kwa muda mrefu sasa tumeshuhudia club ya Simba ikichechemea katika ligi kuu soka Tanzania bara.

Nimejaribu kurejea nyuma nikagundua kitu. Yaani timu ya Libolo ya Angola ilifanya unyanyasaji wa hali ya kuu kwa kuipiga timu ya cmba goli 4-0.

Tangu hapo simba haifanyi vizuri kwenye VPL, Ikumbukwe kuwa unyanyasaji huo ulitokea March 3, 2013 na tangu mwaka huo mambo hayaja inyookea timu ya Simba. Kwakweli walicho kifanya Libolo si kitendo cha kiungwana na hakivumiliki.

Simba angalieni namna ya kujinasua la sivyo mwaka huu mnashuka daraja.
 
Ni vizuri msiache kumkumbuka mume wa ujana wenu kila siku.
 

Attachments

  • 1424851770091.jpg
    84.4 KB · Views: 340
  • 1424851814776.jpg
    25.1 KB · Views: 319
Mlinunua mechi kama kawaida yenu.
Ahsante kwa kuweka wazi njaa ya Yanga kiasi cha kuhongwa ili ifungwe kila mechi. Bila shaka itakuwa imevuna kiasi kikubwa kuanzia zile 5-0, 1-1, 3-3, 3-1, 2-0....
 
Ila lile jina liliitisha sana simba?

Aiseeee!! Yaani simba jike aliposikia tu lile jina LIBOLO basi akaachia mwenyewe hata bila ya kutekenywa tekenywa......Basi tangu siku hiyo simba jike hajapata nguvu na hali inazidi kuwa tete sijui aliachiwa na virus!!!!!
 
Unyanyasaji wa kijinsia.
 

Attachments

  • 1424894822473.jpg
    8 KB · Views: 381
Simba wanasubiri kichapo cha Azam
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…