OKy sawa ila sio mwandishi mzuri.Eleza
Kubadilika kwa usumaku kunatokeaje, naam inakuwaje?OKy sawa ila sio mwandishi mzuri.
Hapo kwenye sumaku kuna mzungusho wa nyaya ( windingi ) , ambazokukitokea kutata au kubadilika kwa usukaku kwenye izo nyaya kutazaliwa umeme , ambao utaenda moja kwa moja kwenye taa na kuwasha
Nitajaribu , sikuzote kifaa kikiwa kinatumika iwe redio , Tv , Feni kunakuwa hakuna constant flow ya umeme .. hivyo hivyo katika spika iyo ...ambayo itasababisha kubadilika kwa magnetic fields of lines. ( ni mawazo kutokana na elimu ndogo niliyo nayo )Kubadilika kwa usumaku kunatokeaje, naam inakuwaje?