Jinsi tunavyopigwa watanzania pitia hapa. Fumba town buyer’s from all over the world have already invested

Jinsi tunavyopigwa watanzania pitia hapa. Fumba town buyer’s from all over the world have already invested

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,944
Reaction score
2,032
Sina mengi mi maana hata karani tangu tuanze zoezi la kuhesabiwa hadi Leo karani wa sensa hajafika kwangu sina neno na hilo maana siku zimebaki kidogo labda watafika maana huu si uchaguzi matokeo ya watanzania tuko wangapi ni swala dogo sana kuliko speed ya uhesabuji wa kura kumuhalalisha mshindi.

Wakuu mi kilochonifanyanya nije na huu uzi ni namna ya tangazo nilolikuta la mradi huu ,hivi Watanzania tukiamua kaunda tume ya uchunguzi huru kujiridhisha kweli ndani ya uwekezaji huu olojitanabaisha kuwa ni wawekazaji zaidi ya hamsini wameshawekeza hatutakuta jina la mtu mwenye asili ya nchi hii akiwemo kwenye hiyo orodha?

Kuuliza sio ujinga nataka tu kujua.Mimi nawahi kulala uenda karani wa sensa anaweza pita usiku wa manane na kutaka taarifa zangu na nisimsikie kama ntachelewa kulala
 
,hivi Watanzania tukiamua kaunda tume ya uchunguzi huru kujiridhisha kweli ndani ya uwekezaji huu olojitanabaisha kuwa ni wawekazaji zaidi ya hamsini wameshawekeza hatutakuta jina la mtu mwenye asili ya nchi hii akiwemo kwenye hiyo orodha?
Kwani kuna shida gani hata kuunda tume ya uchunguzi? Ukiwa na fedha zako nenda ukanunue na nina imani watz wengi tu wenye uwezo wamenunua. Hata mimi nilitaka kununua lakini bahati mbaya nilikuwa tayari nimeanza ujenzi ndiyo nikasikia kuhusu hizo nyumba. Cha ajabu kipi?

Mbona yale ma apartment ya Oyesterbay na Masaki gharama zake ni kubwa kuliko vile vijumba vya Bakhressa na wale Wajerumani kule Fumba?
 
Kwani kuna shida gani hata kuunda tume ya uchunguzi? Ukiwa na fedha zako nenda ukanunue na nina imani watz wengi tu wenye uwezo wamenunua. Hata mimi nilitaka kununua lakini bahati mbaya nilikuwa tayari nimeanza ujenzi ndiyo nikasikia kuhusu hizo nyumba. Cha ajabu kipi?

Mbona yale ma apartment ya Oyesterbay na Masaki gharama zake ni kubwa kuliko vile vijumba vya Bakhressa na wale Wajerumani kule Fumba?
Nadhani ujaelewa nachokiuliza unaleta uzanzibar maana naiona mihemko,miradi mingi hapa tanzania haijarishi huko zenji au bara nyuma inakuwaga na namna
 
Nadhani ujaelewa nachokiuliza unaleta uzanzibar maana naiona mihemko,miradi mingi hapa tanzania haijarishi huko zenji au bara nyuma inakuwaga na namna
Uzanzibari umetokea wapi na mihemko imetokea wapi? Mimi nazungumzia facts labda umeshindwa wewe kueleza kwa ufasaha hilo ulilotaka kuandika hapa (check #2).
 
Back
Top Bottom