Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"


.....Panya kanywa mchuzi, Paka kala panya, kumbe paka kanywa mchuzi indirect.......?
 
Swali gumu hawezi kujibu. Kama atasema tuendelee hivyo hivyo basi mirembe itakuwa inamhusu!!

Unamaanisha wale wanaoendelea na Bunge Maalum huku wakidai kuwa Sheria zilizounda Bunge hilo ni za Muungano "Haramu?"
 
.....Panya kanywa mchuzi, Paka kala panya, kumbe paka kanywa mchuzi indirect.......?

Japokuwa unaongea kwa "parables" lakini nafikiri mnywa mchuzi ni "Mwanasheria Nguli!"
 

mkuu haujaamua kuwa serious na mimi siwezi kumemorise vitu visivyo seriois....OK tukubaliane, kila kitu cha nchi hii ni batili, kwa iyo? ok ubunge wa lissu ni batili so what?

Kama kila kitu ni batili then ndo tunapaswa kuanza upya.
Nani aliyekuambia sheria ya uchaguzi imeanza baada ya kuwa na muungano?
Nani amekuambia elimu ta taifa ili imeanza baada ya muungano batili?
Nani aliyekuambia wanasheria na maadvocate wameanza kuhudhuria mahakamni baada ya muungano?
Kwa kukusaidia, tuelewane kuwa muungano sio nchi, muungano ni wa kidola yaani state, na zaidi a State is not a country.

Lissu anaweza kuwa na maoni batili, elimu batili, na kazi batili ila ilo halibatilishi uwepo wa nchi ya Tanganyika.
Mnapaswa kumjibu lissu, je Zanzibar iliungana na nchi ipi? kisha mjibu kwa hoja si vihoja kama ivi mnavyoleta!
 

Sasa wewe hapo umejenga hoja au umetukana? Kazi ipo kweli kwa sisi mashabiki.
 

Sheria ya Vyama vya Siasa ni ya mwaka 1992, Sheria ya Elimu ni ya Mwaka 1978, xote ni baada ya Muungano! Sheria ya Vyuo Vikuu ni ya Mwaka 2005 kama sikosei, hiyo nayo ni ya baada ya Muungano!
Kama unataka tuanze upya sijui unamaanisha tuanzeje maana Sheria iliyoanzisha Bunge Maalum la Katiba nayo ni BATILI maana imetungwa na Bunge la Muungano BATILI!
Yaani kwa kifupi Lissu angejua athari za kauli yake mapema asingefungua mdomo wake aisee!
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa endapo mume na mke hawajafunga ndoa halali basi chochote watakachofanya ni batili? Kwa maana hiyo hata wakizaa watoto watakuwa batili, wakijenga nyumba itakuwa batili, wakinunua shamba litakuwa batili, wakianzisha kampuni nayo itakuwa batili? Acha pumba bhanaasa!
 
Waheshimiwa..mchungaji aliye bora ni yule mwenye kukaa na wakosaji na kuwasafisha na kamwe sio yule anayetazama walio wasafi tu na kunyooshea vidole walio wachafu...mistakes have alredy done....na kama unafuatitia.upuuzi wote huo ulifanywa hata kabla ya uzao wa Tundu lisu...sasa he need support kurekebisha haya na sio kunyooshewa vidole...atawezaje kurekebisha uchafu ulio ndani ya usafi pasipo kushika vyote uchafu na usafi?tunatumia hizihizo mamlaka batili na kuzikomboa kua halali na kuondokana na ubatili
 
Alitazama na kusikiliza bunge la jioni hii.
Wachache wamemtambu nani Ngariba na nani Kungwi. Ngoma za watoto hazikeshi, usingizi lazima.
Hati ni hiyo, tuleteeni jipya.
Kodi yetu rudisheni.
Watoto wadogo wabishi kama ......
Kisa chuo Kikuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…