Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Yaani mambo mengine yasengeki kweli.Kama huna jicho la 3 huwezi kung'amua hili , Kunyimwa uwanja wa mazoezi hakukuja hivihivi tu , ulikuwa mpango maalum wa kuikomoa timu hiyo kutokana na matatizo ya Manji na chama cha kisiasa cha ccm .
Naomba kukiri kwamba mimi siipendi Yanga lakini fitna ilizofanyiwa hazina faida yoyote kwa yeyote na ni hasara kwa Taifa , jambo hili limeua kabisa morali ya wachezaji wa Yanga .
Wito kwa Katibu Mkuu wa Yanga , Mkwasa , siku nyingine ukiona hujuma dhidi ya timu yako nenda kwenye Mahakama ya umma badala ya kwenda kwa Katibu Mkuu wa ccm ndugu Kinana , hatokusaidia kitu .
Mkuu nahitaji hii simu yako uliyotumia kupost,Mbn mkicheza na simba mazoez huw mnafanyiaga pemba?? Acheni hz bhana Vyura...
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
Mimi unanionea tu mkuu wangu , Ulitakiwa kumuuliza Mkwasa kwanini alienda kwa Kinana kulalamika .Yanga yenyewe kama Taasisi, ni CCM, unawezaje kuitenganisha Yanga na CCM.
Sema tu wewe hata ukila unaota, inaonekana unaota siasa, angalia ukiwa mfuta vumbi mwenzangu siasa hukufanya uwe maskini wa kutupwa.
Utafiti unaonyesha wafia vyama wengi ambao sio viongozi kwenye vyama vyao ni maskini.
Unamaanisha katibu wa chama hana meno tena ama?Kama huna jicho la 3 huwezi kung'amua hili , Kunyimwa uwanja wa mazoezi hakukuja hivihivi tu , ulikuwa mpango maalum wa kuikomoa timu hiyo kutokana na matatizo ya Manji na chama cha kisiasa cha ccm .
Naomba kukiri kwamba mimi siipendi Yanga lakini fitna ilizofanyiwa hazina faida yoyote kwa yeyote na ni hasara kwa Taifa , jambo hili limeua kabisa morali ya wachezaji wa Yanga .
Wito kwa Katibu Mkuu wa Yanga , Mkwasa , siku nyingine ukiona hujuma dhidi ya timu yako nenda kwenye Mahakama ya umma badala ya kwenda kwa Katibu Mkuu wa ccm ndugu Kinana , hatokusaidia kitu .
Yako wapi ?Unamaanisha katibu wa chama hana meno tena ama?
Yako wapi ?
Pamoja mkuu usijali, tumetoka kushangilia.Mimi unanionea tu mkuu wangu , Ulitakiwa kumuuliza Mkwasa kwanini alienda kwa Kinana kulalamika .
πππ ss mkuu hutaki na mm niwepo humu jf au?Mkuu nahitaji hii simu yako uliyotumia kupost,
Tunafanya biashara mkuu nakupa hela unaenda nunua nyingine, hizo cm madukani hakuna wanazo watu mikononi, ukiichoka nifate pm mkuuπππ ss mkuu hutaki na mm niwepo humu jf au?
Kwa hiyo mnawaiga Yanga?Tusiwasingizie ccm Yanga hakuna wazo mbadala nje ya Manji