Jinsi unavyoweza kuunda pepo kupitia punyeto na uasherati

Ni kweli PUNYETO ni mbaya na ni hatari kubwa lakini hizi mambo nyingine sasa hususani za kwako ni stori za kufikirika. Haziingii akilini kisayansi wala kidini wala hata kiakili za kawaida

Ni kweli mtu anajengeka kisaikolojia kuna nguvu fulani ya msukumo (kwenye dini wanaita roho chafu) ambayo inamsumbua sana katika jambo hilo lakini haina maana kwamba ni zile mbegu ndo zinaumba hiyo roho, big NO.

Mbegu zenyewe kwanza mpaka ikutane na yai ndio inakuwa kiumbe hai kamili. Kidini hasa kiislamu ndio kabisa mpaka siku 120 tangu mbegu kukutana na yai ndo kunahesabika kuna kiumbe hai kamili
 
Nimewahi andika thread isemayo:

Live Toka kuzimu -@rabbon

nilieleza hili.
 
Uthibitisho
Kazi ipo. Kweli kweli
Ni Kweli,

Kwani kisayansi mtoto ni Mali ya nani?

Ulimwengu wa Giza, mbegu ni deal kubwa, wachawi huzichukua na kuzipeleka kwenye katakana zao kuzalisha watu nusu mtu nusu pepo
 
ukiniuliza mimi nitasema thread hii ndio bora mda wote hapa jf. Imekuwa ya kufkirisha sana na niyakifikirishi pia! Vijana wengu huchukulia kama mzaha ila kunalo lakujib huko kwa Allah.
 
Ipi ni sehemu salama?
Hewani...?
Au
Jumba lenye PID, STDs?kumbuka pia humohumo huwa kuna intruders ambao ni microbes( bacteriana fungi)

Wastani huwa ni kati ya 20M mpaka 600M... The choosen one akishakiwasha hao wwngine wanaenda wapi?

...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…