Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Habarini wanajamvi.
KUTOKA BONGO FLAVA:
Muziki wetu kwa sasa unakua kwa kiwango cha kimataifa kiasi cha kufanyika kile ambacho hakikuwahi kufikirika kichwani mwa watanzania wenyewe kuhusu BONGO FLAVA, Ingawa kuna juhudi za wasanii wengi katika kuufikisha mziki wetu katika kiwango cha kimataifa lakini katika vinywa vyetu hatuwezi kuacha kutamka ALI KIBA na DIAMOND kama mifano ya kuigwa ndani ya harakati za kukuza muziki wetu.
Wasanii hawa wawili hawana nguvu yoyote kama wangesimama wenyewe bila nguvu ya wananchi waliyoona kazi na kuikubali kwa kuweka usikivu na mchango wa maendeleo ya wasanii binafsi na maisha yao ili waendeleze burudani kwa watu hawa
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, tulianza kumsikia ALI KIBA na CINDERELLA, DIAMOND na KAMWAMBIE hizi ni nyimbo zilizowatambulisha kama wasanii wachanga lakini sasa ni wasanii wakubwa.
Tuna ndoto za kukuza muziki wetu kwa kiwango cha juu zaidi lakini tukisema wasanii wakuwatumia ni DIAMOND na ALIKIBA basi ni dhahiri tunaota ndoto za mchana kweupe, hawa watu ni icon za muda huu, na bila shaka wanazidi kupanda lakini kuna wengine wanaofanya vizuri
kibaya zaidi wao hushhindana kutoa nyimbo kwa sababu attention za watu zipo kwao, lakini hakuna ushindani kwa wengine kwa sababu wananchi hawajazipi kipaumbele kazi zao kabisa,
wasanii hao huishia njiani na kisha kupotea kabisa kwa sababu kipaumble chao ni kidogo mno, na hakikidhi haja yao ya kujiweka kimataifa, hii ni hatari ya kupolomoka mzik wetu, nchi za nje wanatazama BONGO FLAVA kupitia hawa watu wawili, ssa endapo wasanii hawa wawili wakipotea nani tutamsimisha tena kwa ajili ya kutangaza kimataifa? lets stop this kuna wasanii wengi wanahitaji kuona nguvu yetu tukiwafikisha pale walipo, mfano RUBY, BARNABA, DITTO, MAUA SAMA, YOUNG KILLER, NANDY, BARAKA THE PRINCE, WCB (exclude DIAMOND), CHIN BEEZ, YOUNG DEE, ROSA REE, IBRA NATION, na wengine
kwa mtazamo wangu, jeshi tajwa hapo juu litatufikisha tunapotaka, ila wawili hawatutoshi, tujifunze kwa NIGERIA kule humtaji Davido na Wizkid peke yake yaani hata roho inakataa ukiiona ile team ya MAVINS RECORDS na akina P-SQUARE na wengineo
Nawasilisha
KUTOKA BONGO FLAVA:
Muziki wetu kwa sasa unakua kwa kiwango cha kimataifa kiasi cha kufanyika kile ambacho hakikuwahi kufikirika kichwani mwa watanzania wenyewe kuhusu BONGO FLAVA, Ingawa kuna juhudi za wasanii wengi katika kuufikisha mziki wetu katika kiwango cha kimataifa lakini katika vinywa vyetu hatuwezi kuacha kutamka ALI KIBA na DIAMOND kama mifano ya kuigwa ndani ya harakati za kukuza muziki wetu.
Wasanii hawa wawili hawana nguvu yoyote kama wangesimama wenyewe bila nguvu ya wananchi waliyoona kazi na kuikubali kwa kuweka usikivu na mchango wa maendeleo ya wasanii binafsi na maisha yao ili waendeleze burudani kwa watu hawa
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, tulianza kumsikia ALI KIBA na CINDERELLA, DIAMOND na KAMWAMBIE hizi ni nyimbo zilizowatambulisha kama wasanii wachanga lakini sasa ni wasanii wakubwa.
Tuna ndoto za kukuza muziki wetu kwa kiwango cha juu zaidi lakini tukisema wasanii wakuwatumia ni DIAMOND na ALIKIBA basi ni dhahiri tunaota ndoto za mchana kweupe, hawa watu ni icon za muda huu, na bila shaka wanazidi kupanda lakini kuna wengine wanaofanya vizuri
kibaya zaidi wao hushhindana kutoa nyimbo kwa sababu attention za watu zipo kwao, lakini hakuna ushindani kwa wengine kwa sababu wananchi hawajazipi kipaumbele kazi zao kabisa,
wasanii hao huishia njiani na kisha kupotea kabisa kwa sababu kipaumble chao ni kidogo mno, na hakikidhi haja yao ya kujiweka kimataifa, hii ni hatari ya kupolomoka mzik wetu, nchi za nje wanatazama BONGO FLAVA kupitia hawa watu wawili, ssa endapo wasanii hawa wawili wakipotea nani tutamsimisha tena kwa ajili ya kutangaza kimataifa? lets stop this kuna wasanii wengi wanahitaji kuona nguvu yetu tukiwafikisha pale walipo, mfano RUBY, BARNABA, DITTO, MAUA SAMA, YOUNG KILLER, NANDY, BARAKA THE PRINCE, WCB (exclude DIAMOND), CHIN BEEZ, YOUNG DEE, ROSA REE, IBRA NATION, na wengine
kwa mtazamo wangu, jeshi tajwa hapo juu litatufikisha tunapotaka, ila wawili hawatutoshi, tujifunze kwa NIGERIA kule humtaji Davido na Wizkid peke yake yaani hata roho inakataa ukiiona ile team ya MAVINS RECORDS na akina P-SQUARE na wengineo
Nawasilisha