Kabisa usalama wataifa mzee ukitaka ufanikiwe usiwe na maneno mengi salamu alafu unakuwa ushakagua kama bidhaa ipo ukishaiona una mwambia kamabado anabung'aa unaongea huku kidole chako kinasonta bidhaa husika usiwe serious kuwa mwingi wa tabasamu akikwambia nikufungie mwambie achatu alafu geuza soma kwenye expire date kulazako kona kama ronaldo vileUsalama wa Taifa [emoji16] [emoji16]
[emoji16] [emoji16] we jamaa nomaKabisa usalama wataifa mzee ukitaka ufanikiwe usiwe na maneno mengi salamu alafu unakuwa ushakagua kama bidhaa ipo ukishaiona una mwambia kamabado anabung'aa unaongea huku kidole chako kinasonta bidhaa husika usiwe serious kuwa mwingi wa tabasamu akikwambia nikufungie mwambie achatu alafu geuza soma kwenye expire date kulazako kona kama ronaldo vile
Ukienda shop ukakuta mdada inakuwa ngumu Kweli sio uongo
Mjomba mimi huwa sivungi ,afya ya kwangu nimuonee aibu nani ? Tena napenda nikute anayeuza Pharmacy awe mwanamke
Mi kuna siku nilienda kununua asubuhi mida ya saa tatu hivi, nikamkuta Dada Mzuri tu akiwa na Mwanaume mwingine sijui nae muhudumu yule maana alikuwa akikagua kagua baadhi ya Dawa, nikamuuliza,"Kondom zipo?".akajifanya hajanisikia nikapaza sauti ya juu mpaka yule jamaa akasikia,"KONDOMU ZIPO?". Akaniuliza tena,"Unasema!?". Mi kikauzu tu nikamuuliza tena kwa sauti ya juu safari hii hata mtu aliyepo kwenye mlango kwa nje angesikia,"KONDOMU ZIPO?" Yule jamaa kuona Dada anazingua akamwambia,"Anaulizia Kinga". Mi nikamjibu, "amenielewa sana ila anafanya makusudi tu", yule jamaa akasema, "Unanunua KONDOMU asubuhi yote hii!". Nikamjibu,"Sa kama mi nimeagizwa ntafanyaje!". Yule Dada akaniwekea zile kondomu kwenye Pakti ya Dawa mi huyooo nikasepa zanguKabisa usalama wataifa mzee ukitaka ufanikiwe usiwe na maneno mengi salamu alafu unakuwa ushakagua kama bidhaa ipo ukishaiona una mwambia kamabado anabung'aa unaongea huku kidole chako kinasonta bidhaa husika usiwe serious kuwa mwingi wa tabasamu akikwambia nikufungie mwambie achatu alafu geuza soma kwenye expire date kulazako kona kama ronaldo vile
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] we jamaa.. Nimecheka sanaMi kuna siku nilienda kununua asubuhi mida ya saa tatu hivi, nikamkuta Dada Mzuri tu akiwa na Mwanaume mwingine sijui nae muhudumu yule maana alikuwa akikagua kagua baadhi ya Dawa, nikamuuliza,"Kondom zipo?".akajifanya hajanisikia nikapaza sauti ya juu mpaka yule jamaa akasikia,"KONDOMU ZIPO?". Akaniuliza tena,"Unasema!?". Mi kikauzu tu nikamuuliza tena kwa sauti ya juu safari hii hata mtu aliyepo kwenye mlango kwa nje angesikia,"KONDOMU ZIPO?" Yule jamaa kuona Dada anazingua akamwambia,"Anaulizia Kinga". Mi nikamjibu, "amenielewa sana ila anafanya makusudi tu", yule jamaa akasema, "Unanunua KONDOMU asubuhi yote hii!". Nikamjibu,"Sa kama mi nimeagizwa ntafanyaje!". Yule Dada akaniwekea zile kondomu kwenye Pakti ya Dawa mi huyooo nikasepa zangu
Haaahaaa mwanangu umenichekesha kweli huyo dem mpuuzi sana alafu huwezi kukaa duka ladawa kama sio mtaaluma wa phamasia au afya sema wanajisahaulishaga tuMi kuna siku nilienda kununua asubuhi mida ya saa tatu hivi, nikamkuta Dada Mzuri tu akiwa na Mwanaume mwingine sijui nae muhudumu yule maana alikuwa akikagua kagua baadhi ya Dawa, nikamuuliza,"Kondom zipo?".akajifanya hajanisikia nikapaza sauti ya juu mpaka yule jamaa akasikia,"KONDOMU ZIPO?". Akaniuliza tena,"Unasema!?". Mi kikauzu tu nikamuuliza tena kwa sauti ya juu safari hii hata mtu aliyepo kwenye mlango kwa nje angesikia,"KONDOMU ZIPO?" Yule jamaa kuona Dada anazingua akamwambia,"Anaulizia Kinga". Mi nikamjibu, "amenielewa sana ila anafanya makusudi tu", yule jamaa akasema, "Unanunua KONDOMU asubuhi yote hii!". Nikamjibu,"Sa kama mi nimeagizwa ntafanyaje!". Yule Dada akaniwekea zile kondomu kwenye Pakti ya Dawa mi huyooo nikasepa zangu
Kondom zipo?Mi kuna siku nilienda kununua asubuhi mida ya saa tatu hivi, nikamkuta Dada Mzuri tu akiwa na Mwanaume mwingine sijui nae muhudumu yule maana alikuwa akikagua kagua baadhi ya Dawa, nikamuuliza,"Kondom zipo?".akajifanya hajanisikia nikapaza sauti ya juu mpaka yule jamaa akasikia,"KONDOMU ZIPO?". Akaniuliza tena,"Unasema!?". Mi kikauzu tu nikamuuliza tena kwa sauti ya juu safari hii hata mtu aliyepo kwenye mlango kwa nje angesikia,"KONDOMU ZIPO?" Yule jamaa kuona Dada anazingua akamwambia,"Anaulizia Kinga". Mi nikamjibu, "amenielewa sana ila anafanya makusudi tu", yule jamaa akasema, "Unanunua KONDOMU asubuhi yote hii!". Nikamjibu,"Sa kama mi nimeagizwa ntafanyaje!". Yule Dada akaniwekea zile kondomu kwenye Pakti ya Dawa mi huyooo nikasepa zangu
Hamna mkuu, yule Demu alikuwa anazingua tu alidhani nitamuonea aibu,kumbe kanikuta mi mwenyewe kauzu balaaa! Nilitaka kumuuliza kama anaona wivu nikaamua kumpotezea maana sijajua yule jamaa niliyemkuta nae Dukani ni nani kwake, ningemkuta peke yake ningemtongoza na yeyeHaaahaaa mwanangu umenichekesha kweli huyo dem mpuuzi sana alafu huwezi kukaa duka ladawa kama sio mtaaluma wa phamasia au afya sema wanajisahaulishaga tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Minasemaga nipe usalama wa taifa ntamuachapo muuzaji anacheka mwenyewe mi nakula zangu kona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] yeye anafikiri kila siku watu wanakuja kununua panadol tuHamna mkuu, yule Demu alikuwa anazingua tu alidhani nitamuonea aibu,kumbe kanikuta mi mwenyewe kauzu balaaa! Nilitaka kumuuliza kama anaona wivu nikaamua kumpotezea maana sijajua yule jamaa niliyemkuta nae Dukani ni nani kwake, ningemkuta peke yake ningemtongoza na yeye