Jinsi wanaume wanavyonunua Condom

Ndo maana nilipopaza sauti mwenzake akaingilia kati maana angeendelea kuzingua ningemtongoza moja kwa moja
Na kweli alikuwa anazingua. Bidhaa zipo halafu anaona aibu kuuza
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Ndo maana nilipopaza sauti mwenzake akaingilia kati maana angeendelea kuzingua ningemtongoza moja kwa moja
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Watu mnajua badili gia Angani.. Kha
 
Ugumu wa kununua condom ni pale unapomkuta muuzaji wa kike halafu mwenye umri ulioenda kidogo.
 
haa.,ntapat shda bhas siku kienda kununua,muwe mnaend t kuchkua za msd znazowekwa t mezan kam ukiend health centre yoyte!
Watu tunataka Ruffy rider, Chocolate laini kama unapiga mbunye kavu vile
 
Ngumu kwangu hua inakua kununua ky. Yaani hua nakaza sura si mchezo.
 
Yaani kamchosha muuzaji kakusanya midawa lundo halafu hata hakununua kumbe shida yake ni NDOM loooh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…