Jinsi wanawake wanavyoshikwa shikwa kwa jina la mazoezi huku beach sitaki tena kuoa

Jinsi wanawake wanavyoshikwa shikwa kwa jina la mazoezi huku beach sitaki tena kuoa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yaani unaweza hisi wanatengenezq moviee aisee

Niko beach moja nimekuja mazoezi naangalia mabinti na wake za watu wanavyochanuliwa maapaja yao ati mazoezi

Aisee nisisikie mke wangu amekwenda beach mazoezi kha

Yaana jamaa wanagusa mapaja ya wake zatu wanavyotaka

Nahisi wengine wana piz kabisa mbaya kuna vingine vinawekewa mziki kucheza

Mbaya vnaikatika viuno utasema madada wa buza kwa lulenge aibu sana

Mmh ukienda na mkeo gym za beach ushauri ujipange usije panic

Hakuna anaepona kushikwa shikwa mapaja yaana kama jumba la pdidy

Siwatishi nawashauri mwende na wake zenu

Wengine wakitoka hapo wanapewa lift na majamaa wa gym wanajua wanapoenda nao

Mmoja anasikika yaan moto wa leoo bado kuingizwaa tu kha

Aldbest

Happy oct
 
Asiposhikwa beach, atashikwa mtaani.

Tatizo sio mazoezi, tatizo ni anaefanyishwa mazoezi kuruhusu kushikwa asipopaswa kushikwa.
 
Una uhakika gani kuwa ni wake za watu?
Je kama ni single mothers?
Au watu wazima hovyo?
 
Kwa hiyo unataka kuoa anayeshikwa ?
Wapo vijijini huko wanashikwa na miti na majani tu
 
Mwanamke yoyote anaewapa uhuru wanaume au anaacha mafasi ya ukaribu na wanaume, uyo ni tapeli, akikuambia hao wanaume ni mwalimu wa mazoezi, rafiki n.k usimuamini, ukweli ni kwamba hao wanaume anaowaachia nafasi ya uhuru ni foleni ya replacement yako.
 
Una uhakika gani kuwa ni wake za watu?
Je kama ni single mothers?
Au watu wazima hovyo?
Sio kila mwanamke asiejielewa, au kufanya vitu vya ajabu ama visivyopendeza kwa jamii ni single mothers. kuna single mother wanaojielewa na kujiheshimu. ebu tupumzisheni kha!
 
Screenshot_2024-10-01-13-15-47-90~2.png
 
Back
Top Bottom