Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu Wasabato:
Natambua mnaumizwa sana kiakili na kisaikolojia hasa mnapojikuta hamuwezi kuupindua ukweli huu wa Kibiblia na badala yake mnaishia kulaumu Kanisa la Roman Katholiki kwamba ndiyo wamefanya hvyo.
Yaani mpo tayari kukosana na kugombana au kumnunia yeyote atakayetaja au kutamka Ukuu wa siku tena Kwa kunukuu maandiko!
Niwajulishe kuwa Utukufu wa siku hii hautokani na Kanisa bali misingi yake ni maandiko matakatifu.
Kwanini uumizwe na ukweli unaotokana na maandiko matakatifu yenye uvuvio wa roho wa Mungu?
Hakuna namna yeyote unaweza leta hoja kuishusha siku takatifu ya Jumapili labda utumie hoja zilizo nje kabisa ya maandiko
Niwaombe mtambue kuwa neno la Mungu ndiyo taa na mwongozo na mambo ya kiitikadi ya kimadhehebu hufuata baadaye!
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Siku njema
Ndugu zangu Wasabato:
Natambua mnaumizwa sana kiakili na kisaikolojia hasa mnapojikuta hamuwezi kuupindua ukweli huu wa Kibiblia na badala yake mnaishia kulaumu Kanisa la Roman Katholiki kwamba ndiyo wamefanya hvyo.
Yaani mpo tayari kukosana na kugombana au kumnunia yeyote atakayetaja au kutamka Ukuu wa siku tena Kwa kunukuu maandiko!
Niwajulishe kuwa Utukufu wa siku hii hautokani na Kanisa bali misingi yake ni maandiko matakatifu.
Kwanini uumizwe na ukweli unaotokana na maandiko matakatifu yenye uvuvio wa roho wa Mungu?
Hakuna namna yeyote unaweza leta hoja kuishusha siku takatifu ya Jumapili labda utumie hoja zilizo nje kabisa ya maandiko
Niwaombe mtambue kuwa neno la Mungu ndiyo taa na mwongozo na mambo ya kiitikadi ya kimadhehebu hufuata baadaye!
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Siku njema