Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mkianza hii Mada nitagTudiscuss pesa basi
ngoja nisome tena...labda sijaelewa!Unataka kusema hakuna lililokugusa hata?
Bebeeeee!!!me love u evaaaaaa!& u know ittttt!!!!!!!hail to yuuu!!!ur highness!!!!!Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
TushaanzaMkianza hii Mada nitag
Sasa mimi nautafuta kwako(umaarufu). ...maana naona mambo yangu hayaja kaa sawa bado.Sitaki kufatwa, maana kwa umaarufu wako humu unaweza kusababisha watu wajiulize nina nini?
Kabisaaaaa yaani sio hawa waanzisha thread za kuvutia wanawakeee!!!hahhahha eve leo nakugawa rasmi.... xmas nilitumiwa wine 3 dadeq!kwa njia hyo hyo!jimiminia weeeee!dadeq!
siku nyingne katokea jamaa ...nikamwambia sijafika job usafiri leo sina!why mamy!nikamwambia ah bima imeisha!naogopa trafk...hela ya bima hyoooo!ila hz technique waanweza wale wakaka age fulan!safiiiii!
Sana tu wanaume flani amaizing matured age!!ndo wako real sio hivi viben ten!!!Yeah wanaofanya hivi wanakuaga wanaume flani matured, wenye tabia za kiume,yani ni real men....
Mbarikiwe sana real men kokote mliko, muongezewe zaidi mnapotoa.
(Basi vikware hapa vitanyapia baadae vipige uturn pm vijifanye navyo ni vi real men)
Kwa mtazamo wangu....hata mtoto wa kike anaweza kukutokea.....HAHAH wazee hii strategy ipo poa sana.. ila inawafaa wenye mioyo migumu..
mie kwakweli siwez kuingia PM ya demu humu cjui kwanini
Read btn Eva's line...[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]n!!!!Ngoja nitulie hapa,labda nitapata mbinu, niepuke na vibuti vya humu
Vzr sana ,nimejaribu kupata mbinu humu ktk huu Uzi ,nimekosaTushaanza
Sasa mimi nautafuta kwako(umaarufu). ...maana naona mambo yangu hayaja kaa sawa bado.
KabisaaaaaaaaInahitajika approach nzuri hata kama mtu ni broke a.s.s sio kuja vuuuuu kama kibajaji
Kutongoza mtandaoni means umekubali kubet hapo ni mawili KULA au KULIWA!!!
hivyo tunapendana sanaaa
Tudiscuss pesa basi
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Inahitajika approach nzuri hata kama mtu ni broke a.s.s sio kuja vuuuuu kama kibajaji
Kutongoza mtandaoni means umekubali kubet hapo ni mawili KULA au KULIWA!!!
HahaaaaaaHapo kwenye kujiongeza ndio F kabisa
Vzr sana ,nimejaribu kupata mbinu humu ktk huu Uzi ,nimekosa
MmmhRead btn Eva's line...[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]n!!!!
Niunganishie kwa huyo mkaka aisee nna shida na laki [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani nkimtaja tu hapa pm yake itakua bize kama bodaboda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa si umwage mchele kwny kuku tudonyoe