Jinsi watu wanavyotongozana JF

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mostly hamjaelewa tulichomaanisha!hapa hatuko sokon my dear !mlikuwa mapewa techniques tu!...
Mimi siko huko,namaanisha ikitokea nikija PM tuhurumiane,yaani kuna huruma ya majibu na kauli sio huruma ya kunikubalia la hasha.

Yaani pia huruma ya kutonipiga hela,yaani ilimradi huruma tu itawale katika kila nukta.


Asante sana !
 
Mimi siko huko,namaanisha ikitokea nikija PM tuhurumiane,yaani kuna huruma ya majibu na kauli sio huruma ya kunikubalia la hasha.

Yaani pia huruma ya kutonipiga hela,yaani ilimradi huruma tu itawale katika kila nukta.


Asante sana !
hapa nimeccchhhhheeeekaaaa!dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…