kitoko nyoso...ebote mingi mingiKama ni kweli yanayosemwa na matajiri ili kuwapa reference wasio matajiri basi naamini matajiri tungekuwa wengi, yaweza kua mtaji mdogo kweli ulimtoa ila muda uliomtoa sio sasa, na kwa sasa elimu ni muhimu hata bila ya kupata ajira.
Mengi alianza na Ball point pen na mtaji wa kwanza ulikuwa Idea wapili negotiation na wazalishaji pen walivyokubakiana wa import mzigo faida ikisomeka awawsilishie pesa.Eti Mengi alianza kwa kuuza karanga, hii fix
Karanga hizi hizi za mia.mia[emoji2957]
Kwa tanzania ukitaka kutoboa sasa hiv ni rahisi. Msifie tu Magufuli.Muhimu ni ku work tu harder and smarter to succeed
Katika utajiri wa watu wengi,kuna msukumo wa namna flani uliowawezesha kufika hapo walipo,lakini sio mapambano tu ya kawaida,mfano mtu kaiba hela serikalini katajirikia halafu mwisho wa siku anataka kusadikisha watu kuwa alifuata rules flani ndio maana kawa tajiri...Eti Mengi alianza kwa kuuza karanga, hii fix
Karanga hizi hizi za mia.mia[emoji2957]
Hongera mkuu umenena vyema, angalau huu uzi umeutia sura mana sio kwa mauzauza alioyaandio mtoa mada...Overrated ume genelize sana, mbona mifano ya walioanza chini wapo kibao Regnarld Mengi kaanza from Zero kabisa Mamayake alikuwa muuza mboga tu, MarkZuck, Elon Musk kaanza Zero kaanza Zero, hapa Tz wakina Bruno Smartcode wameanza Sayansi...pia usifosi kuangalia ma Billionaire iyo level kubwa sana vijana kibao umewashuhudia kwa macho yako wanatoka form Zero kabisa DIAMOND PLATNUM.. Mifano ipo mingi.
Kunzia chini inawezekana ukapanda mdogomdogo ila njiani utakutana na backup mbalimbali/nyingi zitakazo ku-push kwenda fasta na safari yako ila ukikaa tu bila kuanza izo backup hutozisikia mfano Harmonize ameanzia chini ila kwenye njia amepata Backup kutoka kwa MOND ukiwa na resources zinazokuwezesha kuanza anza mkuu...
Shule gani iyo mkuu!Shule ni jawabu la ujinga wote
Shule ya Roho MtakatifuShule gani iyo mkuu!