FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
Kuna watu utawasikia eti mbona Bill Gates aliacha shule unaanza kumwambia ukweli usiseme shule sema Havard. Chuo cha watu wenye hela na wenye akili na siyo kwamba aliacha shule aliishindwa ila aliacha kwakua aliona anachokitaka yeye kifundishwe hakikuepo, kwahiyo ni shule ilimshindwa yeye siyo yeye aliishindwa shule.
Sasa kijana unapata division zero shule ya kata ukiambiwa rudi darasani utetezi wako ni Bill Gates naye hakusoma, pumbavu.
sahihiMuhimu ni ku work tu harder and smarter to succeed
Hapo ndipo mnapokosea....
dont work hard...
work intelligently...
................Bro umejaribu kumung'unya maneno kidogo but ukweli hasa kwa hizi nchi zetu za Kiafrika bila wizi na ujanja ujanja mtu hutoki,watu wanakataa tu ila hawajui kuwa kitendo cha kudanganya uhalisia wa mtaji wako na mapato yako kwa afisa wa kodi tayari umeshafanya wizi.Njia za kufanikiwa from zero ni hizi. Kamari, kazi/biashara kwa bidii na urithi.
Changamoto ni hapo kwenye kufanya kazi/biashara kwa bidii. Kona kona na ujanja mwingi uko hapo. Kuna mikono mingi Sana hapa ambayo ni ngumu kupata ukweli.
Jiulize, Kama mtu alianza na mtaji wa karanga/chapati, it means kuna watu alikuwa anafanya nao hiyo biashara, Pia kuna waliomu inspire kufanya hiyo biashara na mafanikio yao ndio yaliyomvuta. Sasa Mbona wanafanikiwa wenyewe tu na kuacha wengine wakiwa chini kwenye biashara ile ile?
Si kwamba watakuwa smart Sana! La hasha! Maana wangekuwa smart wasingefanya biashara hizo hizo za kawaida za kuzoeleka na wengi. The point kunakuwa na untold story behind. Na ndio Siri yenyewe ya utajiri au mafanikio.
Rudi juu pale nimeeditkwani working smarter siyo working intelligently?
Hahahahahaha duuuh unazinguaKuna watu utawasikia eti mbona Bill Gates aliacha shule unaanza kumwambia ukweli usiseme shule sema Havard. Chuo cha watu wenye hela na wenye akili na siyo kwamba aliacha shule aliishindwa ila aliacha kwakua aliona anachokitaka yeye kifundishwe hakikuepo, kwahiyo ni shule ilimshindwa yeye siyo yeye aliishindwa shule.
Sasa kijana unapata division zero shule ya kata ukiambiwa rudi darasani utetezi wako ni Bill Gates naye hakusoma, pumbavu.
Kwahiyo ukisave tu unakuwa bilionea. [emoji23][emoji23][emoji23]I have a brother who was selling sweets sasa hivi nui Bilionea. The issue here is not how much you make but how much you save.
Ndio kona kona na ujanja ujanja! Sio kwa Africa tu. Ni duniani kote kwa ujumla..lazima ucheze na system ili ufike juu. Hakuna bilionare yoyote duniani ambae hajacheza na system.................Bro umejaribu kumung'unya maneno kidogo but ukweli hasa kwa hizi nchi zetu za Kiafrika bila wizi na ujanja ujanja mtu hutoki,watu wanakataa tu ila hawajui kuwa kitendo cha kudanganya uhalisia wa mtaji wako na mapato yako kwa afisa wa kodi tayari umeshafanya wizi.
Hata hao wanaopeana tuzo za walipa kodi bora kuna sehemu huwa wanapiga na hawa huwa na watu wao kwenye system ambao kama mtu upo nje ya biashara huwezi kushtuka.
Watu wamekazania tu alianza kwa kuuza Katanga, sio kweli; njiani kunakuwa na back ups nyingi tu, mfano: wizi kwenye mashirika au makampuni wanakopita kufanya kazi. Unadhani ni kwa nini vyama vya ushirika vinafilisika?Overrated ume genelize sana, mbona mifano ya walioanza chini wapo kibao Regnarld Mengi kaanza from Zero kabisa Mamayake alikuwa muuza mboga tu, MarkZuck, Elon Musk kaanza Zero kaanza Zero, hapa Tz wakina Bruno Smartcode wameanza Sayansi. Pia usifosi kuangalia ma Billionaire iyo level kubwa sana vijana kibao umewashuhudia kwa macho yako wanatoka form Zero kabisa DIAMOND PLATNUM.. Mifano ipo mingi.
Kunzia chini inawezekana ukapanda mdogomdogo ila njiani utakutana na backup mbalimbali/nyingi zitakazo ku-push kwenda fasta na safari yako ila ukikaa tu bila kuanza izo backup hutozisikia mfano Harmonize ameanzia chini ila kwenye njia amepata Backup kutoka kwa MOND ukiwa na resources zinazokuwezesha kuanza anza mkuu...
Kumbukumbu zinasema mengi amewah kuwa mfanyakazi wa serikalini tena taasisi za kifedhaKatika utajiri wa watu wengi,kuna msukumo wa namna flani uliowawezesha kufika hapo walipo,lakini sio mapambano tu ya kawaida,mfano mtu kaiba hela serikalini katajirikia halafu mwisho wa siku anataka kusadikisha watu kuwa alifuata rules flani ndio maana kawa tajiri...
Siri kubwa ya kufanikiwa ni kugundua talanta yako na itumie ikuletee mafanikio. Wengi mnafeli sababu mnataka kufuata vitu ambavyo by nature hauko talented. Kama ambavyo Dangote hawezi kuwa footballer mkubwa ndivyo sawa na wewe hutoweza kuwa Dangote katika biashara.Ninachojua ni kwamba kuna vitu wanatuficha katika kufanikiwa kwao... Atakuambia nilianza na mtaji wa laki lakini hatakuambia kama kuna mtu alimshika mkono na kumoa connection hadi kufika hapo. Kwa wanawake hawezi kukuambia kama huenda alitoa papuchi kwa boss kubwa ndio akapata mtaji wa milioni ila utasikia tu nilijichanga sasa mbona unajiuliza wengine wanajaribu kujichanga wanakwama?
Hapo sasa,connect the dots...Kumbukumbu zinasema mengi amewah kuwa mfanyakazi wa serikalini tena taasisi za kifedha