jinsi ya ku join universities

Lord Lofa

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2011
Posts
2,390
Reaction score
2,396
wangwana hivi ni kweli huwezi kupata degree course kama una c mbili za o level na principle pass 3 za a level hata kwa vyuo vya private
 
ulifanyaje mtihani wa A level wakati una c mbili za o level?
 
Nafikr kwa point hizo itakuwa ngum sana hapa Tz labda huko ulikotoka.
 
Sijaelewa, hiyo o level umeipata tz? Kama ndio basi unaweza kusoma diploma na kisha degree. Ok!
 
Sijaelewa, hiyo o level umeipata tz? Kama ndio basi unaweza kusoma diploma na kisha degree. Ok!
ushauri mzuri mpendwa lakini inaniuma ni kama ntakuwanilipoteza muda na pesa nilizotumia kusomea a level nje afu kinachouma zaidi nilijitahidi nisirudie makosa ya o level na nimefaulu na nimebadili matokeo necta kwa a level suala la principle pass halina shida ila o level
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…