Jinsi ya kuacha Kunusa


Inabidi utafute mtu akugonge iyo hali itaondoka mana nais utakuwa una ungenge wa miaka mingi
 
Huyu ni KE bhanaaaa lol!!!! hahahahaha...Dah!!! JF kuna mambo!!!!

kumbe kuna wanawake wanaitwa Ivan au she is in love with zari's ex huz akaona atumie jina lake make ndo namjua anaitwa IVANDON
 
Sina "ushauli"maana hiyo ni "kasolo"BTW poles na uache hiyo tabia.....
 

Dalili za kishoga shoga humu jf kumeingiliwa ebu acha mambo ya ki elton john we punga live....shame on u
 
Duu unajua siku zote ukiwa unajichanganya na watu ni unajua mengi hayo ni mambo ya kawaida tena sio wanawake wanatabia hiyo hata wanaume kutia mkono kwenye makende sasa hapo wanatofautiana kuna wale wanao nusa wengine wanatia tuu Mikono na mara nyingi inakuwa mtu akiwa pekee yuko kitandani ndo anafanya hicho kitu alafu hapa jf kila mtu anajifanya hafanyi kitu wengi hufanya hilo wasikusumbue tena wengi wakizungumza na mademu zao kwa simu unakuta jitu linatia mikono kwenye map..mbu nyakati za usiku ila hiyo issue ya kutia mkono nyuma ww umezidi mmh issue hio.

Huna cha kufanya hapo ww potezea tuu jitie mikono wala usihofu ukifika mda utaacha km ulivo acha lile la mwanzo pilipili sio sahihi wakati kwako ishakuwa mazoea na ikiwa hujataka kuacha ila jifundishe kuona km uchafu mwisho utastop
 
aaghrr! Kumbe ni mwanamke?!! Kumbe ww ni mchafu sana. Endelea kujinusa
Asante mkuu umenitolea ujinga kwa AMERICAN DREAM na EVELIN SALT hahahaaa wanavamia nyuzi za watu bila kuzielewa
 

Duu.. LOL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…