Jinsi ya kuacha kuvuta sigara (A Guide to Quitting Smoking)

Wapendwa Za Mchana.

Mwenzenu kijana wangu amejiingiza kwenye uraibu wa sigara. Kwanza nilikuwa nahisi baadae nimekuja kujua ni kweli.

Tafadhali mwenye kujua dawa ili aache anifahamishe.

Ahsanteni
Amekuambia kama yupo tayari kuacha ? Au unamtafutia dawa halafu mnamfunga kamba na kumnywesha kilazima?[emoji4] [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asipoelewa, aende naye tour hospitali akaone watu wanaoteseka kutokana na madhara waliyoyapata kupitia uvutaji wa sigara,naamini akili itamkaa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha huruma za kijinga we mwambie achague 1 kati yakuvuta fegi au kuondoka hapo home boy simple 2 lkn nais we mshua mwnyewe ndo unasmoke.
 
Habari wakuu leo leo napenda kuwapa dawa ya kuacha kuvuta sigara kama we n mvutaji na unahitaji kuacha, Nenda dukan kanunue sigara tano(5) unazozitumia zitoe ile tumbaku iliyoko ndani na uiloweke kweny kikombe chenye maji safi lowela kwa usk mzima kisha asubuh yake kunywa hayo maji kwa mkupuo yan bila kusubilisha ukimaliza tulia kama nusu saa arf vuta sigara kama utaimaliza utakuw Tayari umeishapona N.B sio sumu jamani ni salama na ni tiba kweli asanten san nasubilia marejesho kwa watako fanya
 
Mhhh
 
Akishamaliza kunywa, akianza kuvuta awe karibu na toilet au?
 
Nimeanza kuvuta sigara nikiwa na umri wa miaka 15. Imekuwa ni kipindi kirefu sasa nimehangaika kujizuia kuacha bila mafanikio na nimejaribu kutumia kila aina ya dawa za tiba asili na za kizungu bila mafanikio.

Imefika mahali kila nikijizuia kuacha nikaa muda mrefu bila kuvuta:

- Najihisi kama mgonjwa yaani kichwa kuwa kizito nakuwa kama sijitambui.

- Baada ya kula najisikia kuchefu chefu.

- Nikishituka usingizini usiku wa manane bila kuvuta sigara basi siwezi tena kupata usingizi mpaka kunakucha nahangaika sana, ila nikivuta 2 naendelea kupata usingizi.

Nina kila sababu ya kuacha ila nashindwa na kuna mabadiliko hata ya kimwili nayaona kabisa hii ni athari ya sigara:

- Kukosa pumzi wakati wa mazoezi ata kukimbia 2 kidogo kufua kuwaka moto.

- Meno yamebadilika rangi kuwa ya kahawia yamepoteza rangi halisi.

- Mwili kulegea baada ya kuvuta.

- Kumkera mke wangu (matumizi ya mdomo kwa sisi watu wazima) hata kiafya inamuathiri pia

Nisaidieni wakuu nina nia kabisa ya kuacha kilevi hiki.

Natanguliza shukrani.


MICHANGO ILIYOTOLEWA NA WADAU:
===
===
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…