Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Wakuu, nimepata jamaa yangu Yuko ulaya na anataka kuniletea mitumba Kama biashara. Tatizo Sina uelewa na biashara hii na pia yet hajui kitu hivyo anataka maelezo toka kwangu.
Anataka kujua jinsi ya kupack, kugrade, na idadi ya nguo kwenye Kila package. Hizi hapa baadhi ya screenshot ya maongezi yetu
Anataka kujua jinsi ya kupack, kugrade, na idadi ya nguo kwenye Kila package. Hizi hapa baadhi ya screenshot ya maongezi yetu