Labda niseme tu nafahamiana naye tangu 2000 na nishakuwa naye kwa zaidi ya mwaka mmoja. Naomba tujikite kwenye madaNaona mtu anaambiwa changia dora kadhaa ili mzigo ukufikie
Maana kuna seem anasema niko busy kazi fulani.... lakini anaonekana anahitaji kujua maendeleo yako...
Ushauri wangu. Kama umeshaonana naye sio mbaya ila kama ni online.. you have to take care
Nafahamu vyote hivyo mkuuUnafahamu jinsi ya kufanya grading? Na pia idadi ya nguo kwa package?