Unataka kujua kupika au kuandaa?Ukisha ondoa yale mamiti yake unabakiza tu kidogo,unaweka kwanye maji baridi uliyoyatia chunvi,limau au nndimu(maji pamoja na maganda)after some hrs unayaosha na maji ya kawaida then unabandika maji yakichemka unazitia brokoli unaziacha hadi maji yachemke then unzitoa unazipooza na maji baridi,mwisho unaweka kikaangiao na butter kidogo unazitoa kwenye maji unazipashia na siagi na chunvi na pilipili manga kidogo unaweka,siri ya mboga isiive sana ili uweze kupata virutubisho vyote.
Ingredient:
Garlic
Salt or chicken flavored
Method:
Cut broccoli in small piece
Boil the water add salt on it
Add broccoli make sure is not over cook,take out cool in cold water.
Sautee garlic with butter then add broccoli sautee in 3min then add chicken flavored your broccoli will be done.