Jinsi ya kuanza biashara ya promotion

kimwelage

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
55
Reaction score
21
Nimeanzisha kampuni ya promotion lkn nilitatajia nitapata watu wa kusaidia kupata kazo lkn mpk leo sijapata tender.pleasr help me to get connections
 
Nimeanzisha kampuni ya promotion lkn nilitatajia nitapata watu wa kusaidia kupata kazo lkn mpk leo sijapata tender.pleasr help me to get connections

Kabla ya kuestablish kampuni kwa vyovyote utakuwa uliona fursa, wateja wako wakoo, uniqueness ya kampuni yako kwa kampuni nyingine zinazotoa huduma/product kama zako basi anzia humo boss!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…