K kimwelage Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55 Reaction score 21 Dec 9, 2014 #1 Nimeanzisha kampuni ya promotion lkn nilitatajia nitapata watu wa kusaidia kupata kazo lkn mpk leo sijapata tender.pleasr help me to get connections
Nimeanzisha kampuni ya promotion lkn nilitatajia nitapata watu wa kusaidia kupata kazo lkn mpk leo sijapata tender.pleasr help me to get connections
M MWANANCHI MUSOMMMA JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 328 Reaction score 50 Dec 10, 2014 #2 Kuwa NA subira tutakuja wenyewe mkuu....
Twilumba JF-Expert Member Joined Dec 5, 2010 Posts 12,576 Reaction score 14,522 Dec 10, 2014 #3 kimwelage said: Nimeanzisha kampuni ya promotion lkn nilitatajia nitapata watu wa kusaidia kupata kazo lkn mpk leo sijapata tender.pleasr help me to get connections Click to expand... Kabla ya kuestablish kampuni kwa vyovyote utakuwa uliona fursa, wateja wako wakoo, uniqueness ya kampuni yako kwa kampuni nyingine zinazotoa huduma/product kama zako basi anzia humo boss!
kimwelage said: Nimeanzisha kampuni ya promotion lkn nilitatajia nitapata watu wa kusaidia kupata kazo lkn mpk leo sijapata tender.pleasr help me to get connections Click to expand... Kabla ya kuestablish kampuni kwa vyovyote utakuwa uliona fursa, wateja wako wakoo, uniqueness ya kampuni yako kwa kampuni nyingine zinazotoa huduma/product kama zako basi anzia humo boss!
E ELAFU JF-Expert Member Joined Jun 23, 2014 Posts 410 Reaction score 150 Dec 10, 2014 #4 Promotion ya nini na kwa mtindo gani?