Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizi internet cafe bado zipo?Habari zenu wana jukwaa, kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu naomba kufahamu abc za namna ya kuanzisha hii huduma hapa mjini.
Kwa anaye fahamu gharama za ujumla na vibali husika.
Shukran.
Asante kwa ushauri mkuuHasara tupu kwa kizazi hiki cha smartphone
Asante Hii kitu huku haipo nikiweka itafaaKwasasa internet cafe inalipa kwa arusha pekee,naona wazungu wanajazana sana humo,lakin mikoa mingine utapgwa doro mpaka ushangae.
Nakushauri ni heri ufungue games station, hapo utapata hela