Insabhunsa Gusa
Senior Member
- May 13, 2011
- 109
- 88
Wadau,
Nataka kuanzisha kituo cha fm cha kijamii, kwa malengo ya kuelimisha jamii za vijjini kule mkoani Rukwa, ukanda wa ziwa Tanganyika katika masuala ya afya na Elimu kwa shule za msingi na sekondari, bila kusahau kuwaburudisha wana jamii kule.
Naomba msaada wa jinsi ya kuanzisha hiyo fm redio. Utaratibu mzima na masharti yake ni yepi?? Nianzie wapi ndugu zangu?? Nawaombeni msaada wenu kiushauri na ki utaalamu... Unaweza kunishauri kwa email: jones992k@hotmail.com au kwa sms kwenye 0763 947266. Asanteni sana!!
oyaa mkuu site nzuri kijiji cha ngorotwa kata ya kasangaWadau,
Nataka kuanzisha kituo cha fm cha kijamii, kwa malengo ya kuelimisha
jamii za vijjini kule mkoani Rukwa, ukanda wa ziwa Tanganyika katika
masuala ya afya na Elimu kwa shule za msingi na sekondari, bila kusahau
kuwaburudisha wana jamii kule.
Naomba msaada wa jinsi ya kuanzisha hiyo fm redio. Utaratibu mzima na
masharti yake ni yepi?? Nianzie wapi ndugu zangu?? Nawaombeni msaada
wenu kiushauri na ki utaalamu... Unaweza kunishauri kwa email:
jones992k@hotmail.com au kwa sms
kwenye 0763 947266. Asanteni sana!!