Abu Haarith
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 314
- 165
cha kupigia kura au cha kuzaliwaNenda TRA na kitambulisho chako cha jina la sasa hivi watakubadilishia
hawazingui maana unaweka fingerprint paleAu nenda TRA chukua TIN mpya. Ni buree tu
shukraniKitambulisho chochote hata cha kupigia kura
Salaam wakuu
mimi ni kijana niliyekutana na mkanganyiko kidogo kwenye familia yangu
lakini nimegundua ukweli kuhusu nasaba yangu zaidi upande wa majina mwanzo nilikuwa naitwa WALED lakini nimegundua kuwa mimi naitwa IBRAHIMU je nawezaje kubadilisha jina kwenye TIN number yangu maana nahitaji kwenda kuchukua leseni ya gari
shukran kwa ushauriNaamini unapobadili jina ni suala la kisheria zaidi, kwani itaathiri nyaraka zako zote zilizomo kwenye jina la awali.
Hivyo nakushauri upitie kwa mwanasheria/wakili ili ule kiapo kwamba wewe Ibrahimu ndiye ulikuwa ukiitwa Waled hapo awali. Itabidi kiapo hicho ukitunze na kukiwakilisha sehemu yoyote ile ambayo utakutana na mgongano wa jina lako la awali na jina jipya. Kubadili jina kienyeji kunaweza kukukwamisha siku za usoni.
shukran kwa ushauri