KhaaaChanganya na sukari
Sawaaa mkuu nakujaanjoo pm nitakupa namba ya mtu ila yupo hapa dar atakupa maelezo na atakushauri ununue mashine inayotoa chumvi kwenye maji,
Ndio mkuuMkuu mita mia moja kwenda chini? Una uhakika na vipimo vyako? Ni shimo refu kishenzi! Ila mimi sina utaalam wa haya mambo hivyo usidhani nakupinga!
njoo pm nitakupa namba ya mtu ila yupo hapa dar atakupa maelezo na atakushauri ununue mashine inayotoa chumvi kwenye maji,
kwakwelimita 100 kwenda chini, si uwanja wa mpira wa miguu huo goli hadi goli
hahaaaChanganya na sukari
Waone idara ya Maji sehemu ulipo wana madawa mbalimbali ya kutibu Maji.Ndio mkuu
Wateja wangu wanataka maji matamu ( baridi) kisima changu kina maji chumvi, nifanyaje wana jf?
Nimeshauriwa niweke dawa ila hizo dawa sizijui.