ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Weekend nilikuwa nimekaa na washikaji zangu wanne sehemu tunakunywa pombe wote ni watumishi wizara mbalimbali na sio wenyeji wa huu Mkoa. Sasa pembeni ya ile bar alikuwepo amekaa jamaa fulani ambaye kwa maelezo ya washikaji zangu ni Kuwa jamaa ni usalama wa taifa japo mimi sina uhakika sana maana simjui.
Basi tukawa tunapiga stori za mambo ya kiutumishi ikiwemo shutuma mbalimbali maofisini ila mwisho nilichogundua wafanyakazi wengi tunaogopa Sana wanausalama wa taifa tukiamini kwamba wanaweza kusababisha ukafukuzwa kazi.kwa mfano labda kashfa za ulevi hata Kama unakunywa baada ya kazi kwamba usalama wa taifa wanakuwaga na ma file ya wafanyakazi na tabia zake mitaani katika jamii.
Mimi mwanzo nilikuwa sijui Kama mambo ya nje ya ofisini yanaweza kukuharibia maana naonaga walimu kibao huko vijijini NI walevi hata wakija darasani ila usalama wa Huku mijini hawaangalii kazi yako unafanyaje Bali wanaangalia mambo mengine unatumiaje pesa yako.Sasa mimi ile kujishtukia nimesema siitaki mtu Kama NI usalama wa taifa akaamua kunichomea kazini mwache anichomee Kama ni kwa ubaya Basi utamrudia tu.Chuki hazina faida na majungu sio mtaji.
Ninachotaka kusema NI kuwa wasiwasi kupita kiasi kunaweza kuathiri mwili na hisia zako. Hata kunaweza kukusababishia matatizo makubwa zaidi ya tatizo ambalo awali lilifanya uwe na wasiwasi.hakuna haja ya kuwaza Sana kitu ambacho hakijatokea tatizo halipo mtu linaanza kukupa msongo wa mawazo.
Kingine ni punguza kiasi cha habari mbaya unazopata. Si lazima upate taarifa kuhusu kila tatizo linaloendelea ulimwenguni. Ukifuatilia kupita kiasi taarifa mbaya kunaongezea hofu na kutuvunja mioyo.tujitahidi kufikiria mambo mawili au matatu yanayofanya tuwe wenye shukrani.na mwisho kabisa NI kufanya mambo kwa kufuata ratiba maalumu Kama unalala saa nne Basi jitahidi muda ule ule kila siku.
Basi tukawa tunapiga stori za mambo ya kiutumishi ikiwemo shutuma mbalimbali maofisini ila mwisho nilichogundua wafanyakazi wengi tunaogopa Sana wanausalama wa taifa tukiamini kwamba wanaweza kusababisha ukafukuzwa kazi.kwa mfano labda kashfa za ulevi hata Kama unakunywa baada ya kazi kwamba usalama wa taifa wanakuwaga na ma file ya wafanyakazi na tabia zake mitaani katika jamii.
Mimi mwanzo nilikuwa sijui Kama mambo ya nje ya ofisini yanaweza kukuharibia maana naonaga walimu kibao huko vijijini NI walevi hata wakija darasani ila usalama wa Huku mijini hawaangalii kazi yako unafanyaje Bali wanaangalia mambo mengine unatumiaje pesa yako.Sasa mimi ile kujishtukia nimesema siitaki mtu Kama NI usalama wa taifa akaamua kunichomea kazini mwache anichomee Kama ni kwa ubaya Basi utamrudia tu.Chuki hazina faida na majungu sio mtaji.
Ninachotaka kusema NI kuwa wasiwasi kupita kiasi kunaweza kuathiri mwili na hisia zako. Hata kunaweza kukusababishia matatizo makubwa zaidi ya tatizo ambalo awali lilifanya uwe na wasiwasi.hakuna haja ya kuwaza Sana kitu ambacho hakijatokea tatizo halipo mtu linaanza kukupa msongo wa mawazo.
Kingine ni punguza kiasi cha habari mbaya unazopata. Si lazima upate taarifa kuhusu kila tatizo linaloendelea ulimwenguni. Ukifuatilia kupita kiasi taarifa mbaya kunaongezea hofu na kutuvunja mioyo.tujitahidi kufikiria mambo mawili au matatu yanayofanya tuwe wenye shukrani.na mwisho kabisa NI kufanya mambo kwa kufuata ratiba maalumu Kama unalala saa nne Basi jitahidi muda ule ule kila siku.