Jinsi ya kuendesha mradi wa sh 30 milioni

Jinsi ya kuendesha mradi wa sh 30 milioni

SCHIZOPHRENIA

Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
5
Reaction score
1
Naomba msaada nitafanya mradi gani ambao unaweza kuwasaidia watanzania wachache wanaopenda ujasiriamali na biashara na nina sh 30 milioni.
Naomba msaada wa maelezo a kutosha juu ya hilo.
 
Unataka uwasaidie watanzania wengine tu au na wewe upate faida?
 
Mkuu siku nyingine ukiomba ushauri jaribu kuweka detailed information..eleza ukoap,una idea gani n.k

Mimi ushauri wangu kwako tafuta namna ya kuhifadhi hiyo pesa kisha ufanye uchunguzi ikiwa ni pamoja na kushauriana na watu.Siku hizi Business consultants ni wengi sana hivyo unaweza kumega kiasi kidogo kwenye hiyo hela yako kwa kufinance Market Research

Kama uko serious kweli basi tulia utapata wazo la maana sana..Listen to the Sound of Silence.
 
hiyo pesa nzuri sana kwa biashara ikafanyika na kufanikiwa. Im a professional Accountant hivyo kama kweli unahitaji ushauri wa kitaaluma ufanye nini nipe email yako tuwasiliane. unaweza pm
 
Naomba msaada nitafanya mradi gani ambao unaweza kuwasaidia watanzania wachache wanaopenda ujasiriamali na biashara na nina sh 30 milioni.
Naomba msaada wa maelezo a kutosha juu ya hilo.

Ndugu yangu nina conection kubwa sana ya kuweza kusuply matunda ulaya i am still exploring hiyo opportunity-ila kama upo interested nijulishe tujue tuanzie wapi nadhani kama nia yako kutoa ajira kwa vijana kilimo ni moja ya njia moja wapo wapo manake unaweza kutoa ajira to more than 1000 people...tatizo sina muda wa kufanya kila kitu ila in win win solution basi tunaweza kushirikiana
 
Back
Top Bottom