Tumia maji baridi mtengeneze mapacha wa nje aka vodafastanilikuwA sifahamU kumbE majI baridI yanazuiA mimbA kweli jf ni zaidi ya shule
hapa umeniacha chaka kabisaTumia maji baridi mtengeneze mapacha wa nje aka vodafasta
hiyo nia ngumu sana bora tu wakatumie njia za uzazi wa mpango mpk watakapofunga ndoaFanya withdrawal mkuu, ni njia ilio safe kuliko zote pia haina madhara ingawa itahitaji uwe na nidhamu ya hali ya juu na kumasta mzunguko wako vyema!
Tatizo uzazi wa mpango una madharahiyo nia ngumu sana bora tu wakatumie njia za uzazi wa mpango mpk watakapofunga ndoa
Hapa ni kila baada ya tendo, na ndo mojawapo ya changamoto ya hii njia, kama zilivyo nyingine, njia hii wanaitumia wengi sana hasa wasiopenda njia za kisasaJe ukirudia tendo hata mara4 napo anywe lita4?
Jee.... Kama utalala nae usiku kucha!? Kila tendo lita mojaa ama mnapoona hamrudii tena ndio anywe?
Naomba ufafanuzi tafadhali.
Yaani sio masihara, kuna mama wa kisabato ndo alinipa hii shule na nikapata ushuhuda wa kina mama wawili waliopata shule kwa huyo bi mkubwa, mambo yao ya uzazi yanaenda kama wanavyopanga.Kaboli are you serious?
Wasomi wengi mnaamini katika 'fact and figures 'sasa sisi akina kalumakenge 'ni watu wa kujaribu jaribu na inapotokea haijanasa basi tunakubaliana nayo!hakuna njia safe ya kuzuia mimba, cha msingi msifanye mapenzi siku za hatari, hiyo ya kunywa maji haipo kabisa .. yanapoenda maji na mfumo wa uzazi ni vitu viwili tofauti kabisa usidanganywe, pia withdrawal ni very risky kwani likikuponyoka hata tone moja tu tayar vitu vinaitika
HahahaaaaTumia maji baridi mtengeneze mapacha wa nje aka vodafasta
Naomba nije pmNitafute mimi nikupe dawa ya asili ya uzazi wa mpango Dawa zisizo kuwa na madhara yoyote yale ukizihitaji dawa zangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
If you think withdrawal works, ask my five month pregnant girlfriend. In the end of the day mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa katika haya mambo... Ukienda peku anaweza akakutegeshea mimba bila ridhaa yako...Fanya withdrawal mkuu, ni njia ilio safe kuliko zote pia haina madhara ingawa itahitaji uwe na nidhamu ya hali ya juu na kumasta mzunguko wako vyema!