SHADRACK LUTOBECK
Senior Member
- Sep 29, 2013
- 129
- 18
Habarizenu wadau wote wa JF.
Najua muu wazima wa afya njema na kwa ambao afyazenu haziko sawa nawapeni pole!Kuna magonjwa mengi yamekuwa yakisumbuasana kwa sasa katika duniahii tuliyonayo,Matatzo ya kibofu cha mkojo yamekuwa yakiwasumbua sana watu,kuna baadhi ya sababu zinazochangia kuwepo kwa matatizo hayo kama vile UTI,KASWENDE,KISONONO,GONOLEA N.K.
Ukijigundua una magonjwa haya ni vyema zaidi ukaenda hospital.
Maana magonjwa haya yamekuwa ndo chanzo hasa cha ugonjwa huo.
Matatizo ya kibofu cha mkojo yamegawanyika katika sehemu kuu mbili(1)prostate anlargement(mkojo kutoka kidogo tu na kwa maumivu makali hii hufikia hadi kuziba kwa njia ya mkojo).
Prostate encontinence(mkojo hutoka mara kwa mara halii hufanya mkojo kutoka kwa mfululizo).kuna tiba za awali za matatzo hayo.baadhi ya dawa zinazotumika kutibu matatzo hayo ni CLOXASILIN,DOXASILLIN,AMPICILLIN,CO-TRIMAX,LASIX N.K.kama tatzo linaanza unaweza ukatumia dawa hizi ukawa safi kabisa.
Lakini ukikawia kutibu mapema inaweza kusababisha prostate cancer.
Najua muu wazima wa afya njema na kwa ambao afyazenu haziko sawa nawapeni pole!Kuna magonjwa mengi yamekuwa yakisumbuasana kwa sasa katika duniahii tuliyonayo,Matatzo ya kibofu cha mkojo yamekuwa yakiwasumbua sana watu,kuna baadhi ya sababu zinazochangia kuwepo kwa matatizo hayo kama vile UTI,KASWENDE,KISONONO,GONOLEA N.K.
Ukijigundua una magonjwa haya ni vyema zaidi ukaenda hospital.
Maana magonjwa haya yamekuwa ndo chanzo hasa cha ugonjwa huo.
Matatizo ya kibofu cha mkojo yamegawanyika katika sehemu kuu mbili(1)prostate anlargement(mkojo kutoka kidogo tu na kwa maumivu makali hii hufikia hadi kuziba kwa njia ya mkojo).
Prostate encontinence(mkojo hutoka mara kwa mara halii hufanya mkojo kutoka kwa mfululizo).kuna tiba za awali za matatzo hayo.baadhi ya dawa zinazotumika kutibu matatzo hayo ni CLOXASILIN,DOXASILLIN,AMPICILLIN,CO-TRIMAX,LASIX N.K.kama tatzo linaanza unaweza ukatumia dawa hizi ukawa safi kabisa.
Lakini ukikawia kutibu mapema inaweza kusababisha prostate cancer.