Jinsi ya kuepuka utapeli katika bashara za mitandaoni

Jinsi ya kuepuka utapeli katika bashara za mitandaoni

Wakusolve

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
274
Reaction score
254
Habari za wakati huu wana jf , niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu ni kushare kilichonikuta leo.

kuna mtu mmoja alinicheki anaitaji kilo 30 za mchele alikuwa mbali na sehemu ninapouzia ko anaitaji free delivery nikasema sawa , tukakubaliana vizuri ukifika analipia , picha linaanza nikiwa kwenye daladala akanipigia anasema nimlipie umeme kwenye no ya mita alinitumia akadai nikifika sehemu husika atanirudishia nikamwambia sina akasema sawa nafika sehemu uhusika nakuta simu haipokelewi mara hipo bizze kumbe jamaa ni tapeli.

Kama ningemtuma boda basi leo ningekula hasara kubwa lakini nimepoteza tu pesa ya nauli na kurudi na mzigo ofisini.wale mnaofanya biashara za online mnatumia mbinu gani kukwepa awa matapeli wa mtandaoni.asante nawasilisha
 
Hamna mbinu direct, ila huyo anataka umnunulie umeme ni red flag kulikuwa hata hamna haja ya kuendelea na safari.
Ni hatari kufanya biashara hapa jf kumejaa matapeli sana
 
Hamna mbinu direct, ila huyo anataka umnunulie umeme ni red flag kulikuwa hata hamna haja ya kuendelea na safari.
Ni hatari kufanya biashara hapa jf kumejaa matapeli sana
Ndio mkuu sema biashara nafanya group za facebook , nilikuwa nakalipia kufika akanicheck nilishtuka lakini nikasema ngoja nifike nijue itakuaje
 
Asilimia 90 ya shughuli zangu nafanya online.

Baada ya kupitia changamoto kama hizo nyingi niliamua kuweka utaratibu sifanyi kazi na mtu ambaye hajalipia angalau asilimia 45 ya malipo yote.

Ni either uniamini ulipe tuanze kazi au tusifanye kazi kabisa.

Mpaka sasa matokeo nimeyaona na napata watu walio serious kufanya kazi.
 
Asilimia 90 ya shughuli zangu nafanya online.

Baada ya kupitia changamoto kama hizo nyingi niliamua kuweka utaratibu sifanyi kazi na mtu ambaye hajalipia angalau asilimia 45 ya malipo yote.

Ni either uniamini ulipe tuanze kazi au tusifanye kazi kabisa.

Mpaka sasa matokeo nimeyaona na napata watu walio serious kufanya kazi.
Kweli mkuu itabidi kufanya hivyo mtu kwel kama anautaji na bidhaa tu atalipia ata nusu
 
Kweli mkuu itabidi kufanya hivyo mtu kwel kama anautaji na bidhaa tu atalipia ata nusu
Na huwa inarahisisha kazi na kuokoa muda. Kuna muda unakuta mtu anakulipa hela yote inabaki kazi kwako kumkamilishia kazi yake.

Mtandaoni ukiwa unafanya kitu halali na una uhakika na unachokifanya ondoa hofu ya kumpoteza mteja bali mteja aone hofu ya kukupoteza wewe. Utauza sana na utapata connections za maana kupitia kujiamini kwako na uaminifu wako.
 
Na huwa inarahisisha kazi na kuokoa muda. Kuna muda unakuta mtu anakulipa hela yote inabaki kazi kwako kumkamilishia kazi yake.

Mtandaoni ukiwa unafanya kitu halali na una uhakika na unachokifanya ondoa hofu ya kumpoteza mteja bali mteja aone hofu ya kukupoteza wewe. Utauza sana na utapata connections za maana kupitia kujiamini kwako na uaminifu wako.
Kweli uaminifu ni kitu cha msingi sana katika biashara yako iwezi kukua zaidi ni hatari sana kukosa uaminifu kwa wateja wako utawapoteza
 
Tatizo la wafanya biashara wengi wa online.
Hawajarasimisha biashara zao kwa mfano
Hana akaunti namba ya benki yenye jina la ofisi yake
Hana Lipa namba yenye jina la ofisi yake
Hana official email/website
Inakuwa ngumu mteja kulipa kwenye namba binafsi yenye jina kwa mfano Mwajuma/Grace/Ali/Juma nk
 
Wakusolve ulikuwa hujui hii style ya kununulishana umeme kwa wafanyabiashara wa delivery?
 
Nenda play store download app inaitwa Deni app hao jamaa me wamenisaidia saana sababu hakuna Kati yenu mwene haki ya kuaminiwa kwamfano Tv inauzwa laki 5 MTU anataka 2.5 ndio atume mzigo Kama wew ulivo na mawenge nae ndio na yeye anakuwa na mawenge vilevile Kama wewe Unahitaji kuaminiwa na yeye anaeza hitaji kuaminiwa vilevile kunaapp ambayo Huwa natumia kusafilisha vipodozi na kitenge vya Congo iyo app iko hivi
Me nkimpata mteja najiunga na app then najaza details zake Halafu Nampa seminah mteja kwamba ninamna gani anaeza nufaika na Hii app ili tufanye biashara ya cash on delivery
Hapo ananipa anuan ya alipo Kuna mawakala wakupokea mizigo Ambao wanachaji 3000 kwa percel maana Huwa naagiza mizigo midogomidogo sijui kwa mikubwa wanachaji vipi ukishapata details na Gari linalosafilisha mzgo mzigo ukifika eneo husika watapokea paxel na kumpigia simu hapo ndio anakuja pale analipa 3000 ya mizigo na kulipa hela Halafu anabeba mzigo anaondoka nao tunaenda na Hali hiyo mpaka atakapo ona sasa anaeza pay before Ni hivyo tuu
 

Attachments

  • Screenshot_20240623-124223.png
    Screenshot_20240623-124223.png
    935.7 KB · Views: 7
Tatizo la wafanya biashara wengi wa online.
Hawajarasimisha biashara zao kwa mfano
Hana akaunti namba ya benki yenye jina la ofisi yake
Hana Lipa namba yenye jina la ofisi yake
Hana official email/website
Inakuwa ngumu mteja kulipa kwenye namba binafsi yenye jina kwa mfano Mwajuma/Grace/Ali/Juma nk
Hio nakupali sasa mteja bado unampelekea bidhaa bado anakuzungusha uoni hapo ata ukiwa na hivyo vyote bado kuna wateja miyeyusho wanakuepo tu kukukwamisha
 
Nenda play store download app inaitwa Deni app hao jamaa me wamenisaidia saana sababu hakuna Kati yenu mwene haki ya kuaminiwa kwamfano Tv inauzwa laki 5 MTU anataka 2.5 ndio atume mzigo Kama wew ulivo na mawenge nae ndio na yeye anakuwa na mawenge vilevile Kama wewe Unahitaji kuaminiwa na yeye anaeza hitaji kuaminiwa vilevile kunaapp ambayo Huwa natumia kusafilisha vipodozi na kitenge vya Congo iyo app iko hivi
Me nkimpata mteja najiunga na app then najaza details zake Halafu Nampa seminah mteja kwamba ninamna gani anaeza nufaika na Hii app ili tufanye biashara ya cash on delivery
Hapo ananipa anuan ya alipo Kuna mawakala wakupokea mizigo Ambao wanachaji 3000 kwa percel maana Huwa naagiza mizigo midogomidogo sijui kwa mikubwa wanachaji vipi ukishapata details na Gari linalosafilisha mzgo mzigo ukifika eneo husika watapokea paxel na kumpigia simu hapo ndio anakuja pale analipa 3000 ya mizigo na kulipa hela Halafu anabeba mzigo anaondoka nao tunaenda na Hali hiyo mpaka atakapo ona sasa anaeza pay before Ni hivyo tuu
Shukrani mkuu hakika hii inasaidia pande zote mbili🙏na download hii
 
Back
Top Bottom