Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
1. Uwe na kifua kikubwa cha kukabili mambo magumu, uwe mvumilivu , issue kama kodi, madereva, adhabu, matengenezo
2. Uwe na fundi mmoja unaye mwamini
3. Kosa moja lisimfukuze dereva, wekeza kwenye mafunzo ( mfundishe taratibu yale unayo tamani ayafanye, wengi ni darasa la 7)
4. Fedha ya daladala isitumike kwa mambo mengine.
5. Jifunze kuwaelewa madereva, tabia zao, uwongo wao, etc
6. Usitume spare za kuunga unga, kama gear box inasumbua tafuta gear box mpya au used from Japan.
7. Hakikisha ratiba ya service inazingatiwa kwa oil na filter zenye ubora.
8. Lipa kodi zote
9. Lipa adhabu za barabarani haraka.
10. Usiwasumbua madereva bila sababu.
2. Uwe na fundi mmoja unaye mwamini
3. Kosa moja lisimfukuze dereva, wekeza kwenye mafunzo ( mfundishe taratibu yale unayo tamani ayafanye, wengi ni darasa la 7)
4. Fedha ya daladala isitumike kwa mambo mengine.
5. Jifunze kuwaelewa madereva, tabia zao, uwongo wao, etc
6. Usitume spare za kuunga unga, kama gear box inasumbua tafuta gear box mpya au used from Japan.
7. Hakikisha ratiba ya service inazingatiwa kwa oil na filter zenye ubora.
8. Lipa kodi zote
9. Lipa adhabu za barabarani haraka.
10. Usiwasumbua madereva bila sababu.