Jinsi ya kufanya Application vyuo vya Zanzibar

daniel danya

Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
71
Reaction score
2
Naombeni kuelekezwa jinsi ya kufanya application kwa vyuo vya zanzibar ambavyo vipo kwenye kitabu cha TCU
 
Kwa wale wanao jua naomba wanielekeze hivi vyuo vya zanzibar sisi wa bara tunafanyaje application kwa sababu TCU wame viweka pale, lakini havipo kwenye kwenye CAS je nafanyaje ili ni apply na je mkopo inakuwaje ? Msaaada plz.
 
Nimepata hizo code lakini nikizi add pale kwa vyuo vya zanzibar inagoma nifanyaje mkuu
 
Nimecheck contact zao lakini hazipo poa form cjuo nitapatAje

Acha uvivu, ingia kwenye website ya chuo unachokihitaji utaona njia au fomu utaiona hapo na uidownload. Fuata maelekezo na si kusumbua humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…