Habari zenu wadau, hope mko mnaendelea vizuri ktk shughuli zenu za kiuchumi.
Mimi ninaomba kuuliza kwa anayefahamu ivi kwa banks zetu apa TZ, zipi zinatoa huduma nzuri ya kufanya payments online via debit cards za MasterCard/Visa ??
Na je costs zao zipoje??
Nmewahi kuambiwa kuhusu crdb, equity bank siijui vizuri afu nkasikia na UBA bank tena eti wanatoa kadi bila hata kuitaji ufungue account kwao...am kinda confused!!
Your clarifications will be highly appreciated!!
THANKS
Mimi ninaomba kuuliza kwa anayefahamu ivi kwa banks zetu apa TZ, zipi zinatoa huduma nzuri ya kufanya payments online via debit cards za MasterCard/Visa ??
Na je costs zao zipoje??
Nmewahi kuambiwa kuhusu crdb, equity bank siijui vizuri afu nkasikia na UBA bank tena eti wanatoa kadi bila hata kuitaji ufungue account kwao...am kinda confused!!
Your clarifications will be highly appreciated!!
THANKS