Jinsi ya Kufanyakazi na bosi mtata

Jinsi ya Kufanyakazi na bosi mtata

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanya yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-

1. Jipendekeze sana kwake,

2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi,

3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake ,

4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa?

5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake,

6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake,

7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya.

8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje?

Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.
 
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanta yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-
1. Jipendekeze sana kwake, 2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi, 3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake , 4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa? 5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake, 6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake, 7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya. 8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje? Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.

Ungeweka kwenye paragragh kwa kila point.
 
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanta yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-

1. Jipendekeze sana kwake,

2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi,

3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake

4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa.

5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake.

6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake.

7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya.

8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje? Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanta yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-
1. Jipendekeze sana kwake, 2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi, 3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake , 4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa? 5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake, 6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake, 7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya. 8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje? Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.
 
Huko shule mliendea kusomea ujinga?
cc @faizafoxy
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanta yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-
1. Jipendekeze sana kwake, 2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi, 3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake , 4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa? 5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake, 6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake, 7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya. 8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje? Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.
 
Kama hivi yaani si ndio mleta mada?
20210517_214437.jpg
 
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanta yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-
1. Jipendekeze sana kwake, 2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi, 3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake , 4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa? 5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake, 6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake, 7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya. 8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje? Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.
Hizo ulizotaja siwezi hata moja
Kwa ufupi siwezagi kujipendekeza na kazi nitaikosa
 
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanta yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-
1. Jipendekeze sana kwake, 2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi, 3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake , 4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa? 5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake, 6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake, 7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya. 8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje? Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.
Nimeipenda hiyo namba 8.
 
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanta yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-
1. Jipendekeze sana kwake, 2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi, 3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake , 4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa? 5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake, 6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake, 7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya. 8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje? Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.
Huo ni Upumbavu.

Ipo siku atakuinamisha sasa.
 
shida mabos wa kibongo ukijipendekeza mwisho wa siku atakufanya PIMP lake au shambaboy!wakati ni vitu haviko kwenye JOB DESCRIPTION yako
 
Elimu ya bure kwa vijana mnaoanza kazi / mlioanza na mnapata ugumu kuishi/ kufanya kazi na mabosi watata. Fanta yafuatayo ataacha utata yeye mwenyewe:-
1. Jipendekeze sana kwake, 2. Uwe mtu wa kumsifia kuwa anaweza sana kazi, 3. Akifanya presentation mwambie hujawahi kuona mtu bright kama yeye, mwambie unajifunza mengi toka kwake , 4. Akitaka chai kamletee, muulize kuwa alete na maji ya kunywa? 5. Akielekea garini kwake mbebee laptop/ begi lake, 6. Akizinguliwa na mtu kuwa upande wake, 7. Siku akifurahi na kuanza kupiga stori na wewe mpigishe stori za kijanja anazozipenda ila ukipata fursa mtolee mifano ya mabosi wakakisi bila kutaja jina na pia onesha mwisho wao ulikuwa mbaya. 8.Ukiona amezidi sana kukunyanyasa jifanye humuogopi, omba appointment naye ukiingia ofcn mkazie sura muulize anakuchukuliaje? Kwanini anakutreat vibaya,? Mwambie kuwa hupendi jinsi anakutreat. Mwambie badilika.
tabia za marehemu 🍻🍺
 
hahahaha....Ni hatari sana.
Kuna Maboss wakaksi mno.
 
Ujinga mtupu.

Binafsi nilivyoona Mabosi wanataka niwaabudu niliwaachia kazi yao nikasepa kufanya Mishe za Kitaa. Leo hii wao ndiyo hunitafuta ili niwape ramani za kujiajiri..

In short ukipata Boss mkuda Shukuru Mungu kuwa amekuamsha usingizini.. Kisha "do something"
 
Huo usenge sifanyi Mimi napiga mzigo hata under no supervision sina unafiki ule wa watu wakimuona boss wanaanza kujidai busybusy always nikiwa kazin ni kazi kazi sina makundi ,nabalansi umbea nisije nikawa kiherehere wa ofisini nikaishi kwa presha yaani ukiniletea faili ntakuwa neutral,sijipendekezi kwa boss namuheshimu na kumpa heshima yake kama boss anajua kabisa namuheshimu mpaka na yeye ananiheshimu .. Siombi ruksa isipokuwa kwasababu maalum sana sinyimwi. Ruhusa..kesi yangu yoyote ikienda kwao boss zangu hurudi upande wangu nshapata misala kama miwili hivi na wakasimama na Mimi...tatizo mtu unajiona uko juu ya boss unamjibisha ukiringia Elimu.....utapata tabu mno...kula elimu
 
Back
Top Bottom