RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kuweka TV ukutani inapendeza sana. Lakini hamna kitu kinakera kama kuona mawaya yananing'inia kutoka chini kwenda juu kwenye TV. Haipendezi kabisa na inaondoa uzuri wote wa eneo hilo.
Jinsi ya kuficha hizo cable ni rahisi sana. Wakati wa ujenzi unachimbia bomba ya kama 2 inches hivi ukutani, kama unavyochimbia bomba za umeme.
Bomba hii itakuwa wazi chini ambapo ni mkabala na switch socket zako na juu ambapo ni nyuma ya TV na cable zote zitaingia na kutokea hapo. Baadae unaipigia plaster na rangi kama bomba nyingine za waya. Then utakuwa na TV yako na sound bar ukutani bila waya kuonekana.
Credit: ngakotecture
Jinsi ya kuficha hizo cable ni rahisi sana. Wakati wa ujenzi unachimbia bomba ya kama 2 inches hivi ukutani, kama unavyochimbia bomba za umeme.
Bomba hii itakuwa wazi chini ambapo ni mkabala na switch socket zako na juu ambapo ni nyuma ya TV na cable zote zitaingia na kutokea hapo. Baadae unaipigia plaster na rangi kama bomba nyingine za waya. Then utakuwa na TV yako na sound bar ukutani bila waya kuonekana.
Credit: ngakotecture