Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

ama kweli wanawake wanavitu tofauti vya kufuraisha wanaume kuna jamaa yangu alinambia kua ye hua anamnyonya sana mwenzake kwapa yaani kumbe ndio maana ndugu zangu wa kaskazini tunaambiwa hatujui malovee kwani tupo bize ankara.
tobaaaaaaaaaaaaaa
 
++
Ni dalili nzuri ya too much abortion
++

Nakumbuka akili za wakati ule tulikuwatu tunasema sana kuwa abortion inaleta michirizi...
Sidhani kamackuna ukweli wowote.
 
hakuna dawa maalum ya michirizi ila bio oil na cocoa butter inasaidia kuondoa, ila slowly slowly sio utumie asubuhi jioni wataka majibu.. Ah wap
 
hakuna dawa maalum ya michirizi ila bio oil na cocoa butter inasaidia kuondoa, ila slowly slowly sio utumie asubuhi jioni wataka majibu.. Ah wap

Kama ile ya kina Wema jamani . . . hiyo inatoka kweli???
Dah . . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…