Kama ile ya kina Wema jamani . . . hiyo inatoka kweli???
Dah . . .
ila inachukua muda mrefu sanaKama ile ya kina Wema jamani . . . hiyo inatoka kweli???
Dah . . .
Ahahahaha Ave umenifanya nicheke kwa nguvu hahaha!
Ile ya Wema ni too much na inatia kinyaa;Lkn niliwahi kuwa na demu Kisosora-Tanga alikuwa anairembesha kwa hina inakuwa ya njano usiku akivua inameremeta ilikuwa saafi sana!
Nimeipenda hiyo art Aiseee!!
Sikujua kama nayo inaweza kuwa useful urembo.
Ave lini utakuja Kyela kunitembelea nikutayarishie mpunga unaonukia na samaki mbasa?Njoo huku ubadilishe mawazo maana wanaume wa pwani hao akina watu8 wakikuona kila siku wanakuchoka!
Kipindi cha Ipijilo sasa tumevuna,njoo unichune mrembo!Ahahahahaha
nilivyosoma comment yako, nikaangalia na avatar yako nika smile...
Kama ile ya kina Wema jamani . . . hiyo inatoka kweli???
Dah . . .
Kila shetani na mbuyu wake jamani, kuna watu wanaosema huwa wanavutiwa sana (hanjamu) wakiona tu michirizi hasa ile ya kushuka kiunoni, na ndio maana wanaume wengi huwa bize sana wakiona mdada kainama kucheki kama ana michirizi (japo wapo wanaoichukia pia) udadisi wangu kwa akina dada wengi ni kama wanaichukia sana michirizi, hasa wale wanene maana kuna ambayo utafikiri ni ukoko wa siku nyingi wala haivutii tena....binafsi navutiwa sana na michirizi
nimewahi ona picha za Wema S, ana michirizi fulani hivi ambayo inashuka hadi mapajani.....mhhh
Je wewe unaoionaje michirizi?View attachment 93721
View attachment 93722
View attachment 93723
ahaaaa tissue oil tena?1. Bio Oil
2. Tissue Oil
ahaaaa tissue oil tena?