Muhanga leo umeamkia mitaa ya kwetu kweli?eh jamani kila mtu apendacho ndo dawa yake, mie nikiona mwanamume ambaye akivaa suruali inajikunyata hapa katikati ya miguu huwa naishiwa nguvu, hata aje na brifukesi ya manoti wala simtamani maana najihoji nitatoka nae vipi njiani!!! huwa nahisi hata vipumbu vyake vimesinyaa kwa kubanwa na suruali khaaa maumbile mengine mtihani wallah!
bado yupo yupo kwanza akitazama 'mazimola' yatakayomzingua zaidi ndo atayaweka ndani , sipati picha atakavyokuwa anamtembeza huyo dada bila nguo ili tu ayaone mamichirizi yake, ila hajakutana na yale ya mtu mweupeee halafu michirizi myekundu au myeusi utadhani batiki iliyokosewa kuchanganywa rangi!!!Mwana f.a unaoa lini?
eh jamani kila mtu apendacho ndo dawa yake, mie nikiona mwanamume ambaye akivaa suruali inajikunyata hapa katikati ya miguu huwa naishiwa nguvu, hata aje na brifukesi ya manoti wala simtamani maana najihoji nitatoka nae vipi njiani!!! huwa nahisi hata vipumbu vyake vimesinyaa kwa kubanwa na suruali khaaa maumbile mengine mtihani wallah!
heheeee haswaa wangu nimeamkia kule kule, il foleni ikanizingua sana asbh akili ikaingia wazimu ndo huu uuonao hapa!!! ila hilo la kusinyaa suruali lilnatoka rohoni hasa yaani huwa haishiwa pozi nikiona mtu wa design hiyo ananihitaji kutoka nae huwa naenda toilet kucheka kwanza !!Muhanga leo umeamkia mitaa ya kwetu kweli?
no wonder unaishiliaga kwa vi sis du....
bado yupo yupo kwanza akitazama 'mazimola' yatakayomzingua zaidi ndo atayaweka ndani , sipati picha atakavyokuwa anamtembeza huyo dada bila nguo ili tu ayaone mamichirizi yake, ila hajakutana na yale ya mtu mweupeee halafu michirizi myekundu au myeusi utadhani batiki iliyokosewa kuchanganywa rangi!!!
bado yupo yupo kwanza akitazama 'mazimola' yatakayomzingua zaidi ndo atayaweka ndani , sipati picha atakavyokuwa anamtembeza huyo dada bila nguo ili tu ayaone mamichirizi yake, ila hajakutana na yale ya mtu mweupeee halafu michirizi myekundu au myeusi utadhani batiki iliyokosewa kuchanganywa rangi!!!
heheeee haswaa wangu nimeamkia kule kule, il foleni ikanizingua sana asbh akili ikaingia wazimu ndo huu uuonao hapa!!! ila hilo la kusinyaa suruali lilnatoka rohoni hasa yaani huwa haishiwa pozi nikiona mtu wa design hiyo ananihitaji kutoka nae huwa naenda toilet kucheka kwanza !!
heheeee haswaa wangu nimeamkia kule kule, il foleni ikanizingua sana asbh akili ikaingia wazimu ndo huu uuonao hapa!!! ila hilo la kusinyaa suruali lilnatoka rohoni hasa yaani huwa haishiwa pozi nikiona mtu wa design hiyo ananihitaji kutoka nae huwa naenda toilet kucheka kwanza !!
hhhaaaaaeh jamani kila mtu apendacho ndo dawa yake, mie nikiona mwanamume ambaye akivaa suruali inajikunyata hapa katikati ya miguu huwa naishiwa nguvu, hata aje na brifukesi ya manoti wala simtamani maana najihoji nitatoka nae vipi njiani!!! huwa nahisi hata vipumbu vyake vimesinyaa kwa kubanwa na suruali khaaa maumbile mengine mtihani wallah!
hhhaaaaa
kumbe wewe ni SHORI aka SHE!!
nimekugongea senksi thibitisha hapo juu.Sikujua kama na wewe ni slow learner kama mimi!
muhanga...muhanga..mweh umenimaliza mbavu zangu, nimecheka mpaka machozi jamani, mbona una viroja sana wewe.
ndio hizo hizo!!, hebu cheki hapa kwanza hili somo:Babra hebu nisaidie anayozungumzia Laligeni ni strechi marksi au zipi tena????
Umetaka wanaokukera, mbona hujasema unaopendezewa nao!
ndio hizo hizo!!
za tangu jana??,
umeadimika kama miguu ya nyoka!.
suruali sio itune sana, no no itapitiliza, iwe normal lakini pia isisinyae kama hao nilowataja hapo juu! biashara ya watoto kaka mie nshaimaliza kitambo nakula raha kwa raha zangu tu siku hiziWe unapenda suruali zitune siyo? Umetosheka na watoto ulio nao?
hehehehe!Sikujua kama na wewe ni slow learner kama mimi!
oh masaki za siku tele kaka, mie huwa navutiwa na wanaume warefu, wasio na kitambi, wasio na madevu, weusi au maji ya kunde, wasio kunywa mipombe ovyo, anayejua kutake trouble ya kunisikiliza na kunielewa kabla haja jump kwenye conclusion etc. etc, hope umeget picture of what i really want
hahahaaaaa,hehehehe!
i wish ningejua hii thread inazungumzia nin,
SIIELEWI