oh masaki za siku tele kaka, mie huwa navutiwa na wanaume warefu, wasio na kitambi, wasio na madevu, weusi au maji ya kunde, wasio kunywa mipombe ovyo, anayejua kutake trouble ya kunisikiliza na kunielewa kabla haja jump kwenye conclusion etc. etc, hope umeget picture of what i really want
porjie mie she tena wa nguvu hasa! and am proud to announce that!! yaani kwa kweli kama wewe ni 'he' na unatatizo la suruali kukubana in between 2 legs... mmmhhhh sijui niseme nini dear!hhhaaaaa
kumbe wewe ni SHORI aka SHE!!
...Mi napenda iwe kipara kabisa...Teh! teehh!!mimi jamani mwanmke awe mrefu!!!!!!!!!!!!! baaaaasi. hata awe na sura mbaya kama zimwi, siangali!!!!!!!!
sasa akiwa mrefu halafu anataka kunimaliza kabisa kama emsiilema, aniachie yale manywele, asinyoe!! hapo hata myumba nitajenga!!!!!!!
porjie mie she tena wa nguvu hasa! and am proud to announce that!! yaani kwa kweli kama wewe ni 'he' na unatatizo la suruali kukubana in between 2 legs... mmmhhhh sijui niseme nini dear!
nzuri GP, afadhali sikuadimika ka jasho la kuku angalau...
dah ya mamistari nayachukia jamani lol!!!! kweli kipenda roho hula nyama mbichi....
...Mi napenda iwe kipara kabisa...Teh! teehh!!
mimi jamani mwanmke awe mrefu!!!!!!!!!!!!! baaaaasi. hata awe na sura mbaya kama zimwi, siangali!!!!!!!!
sasa akiwa mrefu halafu anataka kunimaliza kabisa kama emsiilema, aniachie yale manywele, asinyoe!! hapo hata myumba nitajenga!!!!!!!
watu tupo tofauti sana, mie ndio usiseme, cyapendi kabisa.
ndo maana nikasema asiyekunywa mipombe 'ovyo' Km ukinywa kwa mpangilio mbona poa tu!Hapo kwenye bold nisipokuwa makini sitaweza kudumisha mila na wewe! Hapo kwenye red, potelea mbali acha nisidumishe mila na wewe kuliko kuachana na hii kitu inaitwa serengeti na msaidizi wake valeur!
Hivi hapa una maanisha mwanywele yepi? Maana nahisi sijakuelewa vizuri. Fafanua tafadhali!
wengine wanayo makubwa kama zebra za barabarani atu smtimes naskia huwa yanauma yale sijui kweli????
Hahahaha! We mtoto wewe! Haya bana!
ndo maana nikasema asiyekunywa mipombe 'ovyo' Km ukinywa kwa mpangilio mbona poa tu!
siamini bado,porjie mie she tena wa nguvu hasa! and am proud to announce that!! yaani kwa kweli kama wewe ni 'he' na unatatizo la suruali kukubana in between 2 legs... mmmhhhh sijui niseme nini dear!
Hivi hapa una maanisha mwanywele yepi? Maana nahisi sijakuelewa vizuri. Fafanua tafadhali!
hahaa usinichekeshe na wewe afu unakuta tena sruali yenyewe ni njiwa na muhusika akitembea shurti ajibidishe kuibanduabandua maana inamng'ang'ania......ahhhhhh i hate that!!!
especially wala walojaaliwa miili minono ndo wanayo ya hivyo....Iribini kwani hujawahi ona ya hivo??? (huwa nawahurumia lakini)
.bht, yaani kama unazo hizo sijui ndio mnaita strechi marks mwanangu sina cha kukuahidi lakini handas mi huanzia humo!! bht, unazo nini niku-PM??Babra hebu nisaidie anayozungumzia Laligeni ni strechi marksi au zipi tena????
poa nenda PM basi tupangePoint well taken and filed for future office use! Saa kumi na moja tukutane basi zero pub tupange mikakati!