Jinsi ya kujikinga na maambukizi ya magonjwa yanayoathiri mfumo wa upumuaji

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124

Vaa barakoa mara kwa mara unapokuwa na watu wengine au unapokuwa kwenye mkusanyiko wa watu

Nawa mikono yako mara kwa mara kwa maji tiririka na sabuni



Epuka kusalimiana na watu kwa kushikana mikono, kukumbatiana na kubusu

Ni lazima kuzingatia usafi wa mazingira, kunawa mikono kwa maji na sabuni,

Zingatia kuepuka kukaa katika upepo mwingi na kunywa vitu vya baridi sana.



Epuka mikusanyiko na safari zisizo za lazima na ukae umbali wa hatua tatu kutoka kwa mtu na mtu

Epuka kugusa macho, pua na mdomo bila kunawa mikono au tumia vitakasa mikono

Vaa kikinga mkono (Glovsi) kama unafanya kazi za kuhudumia Watu wengi
 
Upvote 0
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…