Jinsi ya kujitengenezea|Kujijengea heshima kwa watu wanaokuzunguka

Jinsi ya kujitengenezea|Kujijengea heshima kwa watu wanaokuzunguka

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
getty_119950179_104540.jpg

Salaam Wakuu,

Hii ndo namna bora ya kujitengenezea heshima.

1. Acha kuwaomba watu kila wakati. Acha kuwa ombaomba kwa marafiki

2. Acha kutafuta asiyekutafuta. Mtu kama anakukalia kimya nawe Mkalie kiya

3.Usiwe muongeaji sana bali msikilizaji

4. Usile chakula cha watu wengine zaidi ya wao wanavyokula chaula chako.

5. Punguza jinsi unavyowatembelea baadhi ya watu hasa pale wanapokuwa hawaonyeshi kujali unapowatembelea

6. Kumbuka kujitengenezea furaha yako, usitegemee furaha kutoka wa watu.

7. Acha kuendekeza umbea na kufuatilia mambo ya watu

8. Fikiri kabla ya kuzungumza. Asilimia 80 ya jinsi watu wanakutathimini kutokana na maneno yanayotoka kinywani mwako.

9. Kuwa mfanisi kwa kujishughulisha na lengo lako. Fuata mambo yako si ya wengine

10. Heshimu watu wote wakati wote.

11. Usikae kwenye uhusiano|mahusiano ambayo unadharauliwa kila mara.

12. Kuwa na hofu wakati mwingine. Sio kila kitu ujione unakimudu. Wasiwasi ndo akili

13. Uwe mtoaji zaidi kuliko mpokeaji. Jitahidi kutoa zaidi

14. Jifunze jinsi ya kutumia pesa yako mwenyewe kuliko kutumia pesa ya wengine

15. Usiende mahali ambapo Hujaalikwa na ukialikwa usikaribishe watu wengine.

16. Watendee watu jinsi wanavyostahili.

17. Usipigie mtu simu mara nyingi. Ukipiga mara ,mbili asipokee inatosha, kama anakuthamini atakupigia baadaye

18. Kuwa mzuri katika kile unachofanya na kifanye kwa ubora kadri uwezavyo.[jitengenezee 18 zako ambazo mtu akiingia ameisha]

19. Tunza ahadi na utimize ahadi

20. Tunza utu wako

21. Shukuru kwa kila jambo

Ni hayo tu
 
getty_119950179_104540.jpg

Salaam Wakuu,

Hii ndo namna bora ya kujitengenezea heshima.

1. Acha kuwaomba watu kila wakati. Acha kuwa ombaomba kwa marafiki

2. Acha kutafuta asiyekutafuta. Mtu kama anakukalia kimya nawe Mkalie kiya

3.Usiwe muongeaji sana bali msikilizaji

4. Usile chakula cha watu wengine zaidi ya wao wanavyokula chaula chako.

5. Punguza jinsi unavyowatembelea baadhi ya watu hasa pale wanapokuwa hawaonyeshi kujali unapowatembelea

6. Kumbuka kujitengenezea furaha yako, usitegemee furaha kutoka wa watu.

7. Acha kuendekeza umbea na kufuatilia mambo ya watu

8. Fikiri kabla ya kuzungumza. Asilimia 80 ya jinsi watu wanakutathimini kutokana na maneno yanayotoka kinywani mwako.

9. Kuwa mfanisi kwa kujishughulisha na lengo lako. Fuata mambo yako si ya wengine

10. Heshimu watu wote wakati wote.

11. Usikae kwenye uhusiano|mahusiano ambayo unadharauliwa kila mara.

12. Kuwa na hofu wakati mwingine. Sio kila kitu ujione unakimudu. Wasiwasi ndo akili

13. Uwe mtoaji zaidi kuliko mpokeaji. Jitahidi kutoa zaidi

14. Jifunze jinsi ya kutumia pesa yako mwenyewe kuliko kutumia pesa ya wengine

15. Usiende mahali ambapo Hujaalikwa na ukialikwa usikaribishe watu wengine.

16. Watendee watu jinsi wanavyostahili.

17. Usipigie mtu simu mara nyingi. Ukipiga mara ,mbili asipokee inatosha, kama anakuthamini atakupigia baadaye

18. Kuwa mzuri katika kile unachofanya na kifanye kwa ubora kadri uwezavyo.[jitengenezee 18 zako ambazo mtu akiingia ameisha]

19. Tunza ahadi na utimize ahadi

20. Tunza utu wako

21. Shukuru kwa kila jambo

Ni hayo tu
umesahau kimoja, uwe na mikapa. sio kila mtu anakuingia kirahisi.
 
getty_119950179_104540.jpg

Salaam Wakuu,

Hii ndo namna bora ya kujitengenezea heshima.

1. Acha kuwaomba watu kila wakati. Acha kuwa ombaomba kwa marafiki

2. Acha kutafuta asiyekutafuta. Mtu kama anakukalia kimya nawe Mkalie kiya

3.Usiwe muongeaji sana bali msikilizaji

4. Usile chakula cha watu wengine zaidi ya wao wanavyokula chaula chako.

5. Punguza jinsi unavyowatembelea baadhi ya watu hasa pale wanapokuwa hawaonyeshi kujali unapowatembelea

6. Kumbuka kujitengenezea furaha yako, usitegemee furaha kutoka wa watu.

7. Acha kuendekeza umbea na kufuatilia mambo ya watu

8. Fikiri kabla ya kuzungumza. Asilimia 80 ya jinsi watu wanakutathimini kutokana na maneno yanayotoka kinywani mwako.

9. Kuwa mfanisi kwa kujishughulisha na lengo lako. Fuata mambo yako si ya wengine

10. Heshimu watu wote wakati wote.

11. Usikae kwenye uhusiano|mahusiano ambayo unadharauliwa kila mara.

12. Kuwa na hofu wakati mwingine. Sio kila kitu ujione unakimudu. Wasiwasi ndo akili

13. Uwe mtoaji zaidi kuliko mpokeaji. Jitahidi kutoa zaidi

14. Jifunze jinsi ya kutumia pesa yako mwenyewe kuliko kutumia pesa ya wengine

15. Usiende mahali ambapo Hujaalikwa na ukialikwa usikaribishe watu wengine.

16. Watendee watu jinsi wanavyostahili.

17. Usipigie mtu simu mara nyingi. Ukipiga mara ,mbili asipokee inatosha, kama anakuthamini atakupigia baadaye

18. Kuwa mzuri katika kile unachofanya na kifanye kwa ubora kadri uwezavyo.[jitengenezee 18 zako ambazo mtu akiingia ameisha]

19. Tunza ahadi na utimize ahadi

20. Tunza utu wako

21. Shukuru kwa kila jambo

Ni hayo tu
Nini maana ya utu! Mtu mmoja aliniambia sina utu
 
Respect kwako mtoa uzi....

Pesa sio kila kitu maishani......

Money can't buy everything (Happiness)
 
getty_119950179_104540.jpg

Salaam Wakuu,

Hii ndo namna bora ya kujitengenezea heshima.

1. Acha kuwaomba watu kila wakati. Acha kuwa ombaomba kwa marafiki

2. Acha kutafuta asiyekutafuta. Mtu kama anakukalia kimya nawe Mkalie kiya

3.Usiwe muongeaji sana bali msikilizaji

4. Usile chakula cha watu wengine zaidi ya wao wanavyokula chaula chako.

5. Punguza jinsi unavyowatembelea baadhi ya watu hasa pale wanapokuwa hawaonyeshi kujali unapowatembelea

6. Kumbuka kujitengenezea furaha yako, usitegemee furaha kutoka wa watu.

7. Acha kuendekeza umbea na kufuatilia mambo ya watu

8. Fikiri kabla ya kuzungumza. Asilimia 80 ya jinsi watu wanakutathimini kutokana na maneno yanayotoka kinywani mwako.

9. Kuwa mfanisi kwa kujishughulisha na lengo lako. Fuata mambo yako si ya wengine

10. Heshimu watu wote wakati wote.

11. Usikae kwenye uhusiano|mahusiano ambayo unadharauliwa kila mara.

12. Kuwa na hofu wakati mwingine. Sio kila kitu ujione unakimudu. Wasiwasi ndo akili

13. Uwe mtoaji zaidi kuliko mpokeaji. Jitahidi kutoa zaidi

14. Jifunze jinsi ya kutumia pesa yako mwenyewe kuliko kutumia pesa ya wengine

15. Usiende mahali ambapo Hujaalikwa na ukialikwa usikaribishe watu wengine.

16. Watendee watu jinsi wanavyostahili.

17. Usipigie mtu simu mara nyingi. Ukipiga mara ,mbili asipokee inatosha, kama anakuthamini atakupigia baadaye

18. Kuwa mzuri katika kile unachofanya na kifanye kwa ubora kadri uwezavyo.[jitengenezee 18 zako ambazo mtu akiingia ameisha]

19. Tunza ahadi na utimize ahadi

20. Tunza utu wako

21. Shukuru kwa kila jambo

Ni hayo tu
Kubwa kw yote tafuta hela
 
Ukiwa sio muongeaji watasema unaringa!ukiwa unatoa sana watasema unajifanya mwema!!!ukiwa na sheria fulani Binafsi watasema we mkoloni!!ishi maisha yako ulivyo !kuheshimika na kudharaulika kupo na huwezi kwepa maishani!!!wanao wakikuheshimu inatosha hao ndio ndugu zako wa kweli mtu asikudanganye man!!!!
 
getty_119950179_104540.jpg

Salaam Wakuu,

Hii ndo namna bora ya kujitengenezea heshima.

1. Acha kuwaomba watu kila wakati. Acha kuwa ombaomba kwa marafiki

2. Acha kutafuta asiyekutafuta. Mtu kama anakukalia kimya nawe Mkalie kiya

3.Usiwe muongeaji sana bali msikilizaji

4. Usile chakula cha watu wengine zaidi ya wao wanavyokula chaula chako.

5. Punguza jinsi unavyowatembelea baadhi ya watu hasa pale wanapokuwa hawaonyeshi kujali unapowatembelea

6. Kumbuka kujitengenezea furaha yako, usitegemee furaha kutoka wa watu.

7. Acha kuendekeza umbea na kufuatilia mambo ya watu

8. Fikiri kabla ya kuzungumza. Asilimia 80 ya jinsi watu wanakutathimini kutokana na maneno yanayotoka kinywani mwako.

9. Kuwa mfanisi kwa kujishughulisha na lengo lako. Fuata mambo yako si ya wengine

10. Heshimu watu wote wakati wote.

11. Usikae kwenye uhusiano|mahusiano ambayo unadharauliwa kila mara.

12. Kuwa na hofu wakati mwingine. Sio kila kitu ujione unakimudu. Wasiwasi ndo akili

13. Uwe mtoaji zaidi kuliko mpokeaji. Jitahidi kutoa zaidi

14. Jifunze jinsi ya kutumia pesa yako mwenyewe kuliko kutumia pesa ya wengine

15. Usiende mahali ambapo Hujaalikwa na ukialikwa usikaribishe watu wengine.

16. Watendee watu jinsi wanavyostahili.

17. Usipigie mtu simu mara nyingi. Ukipiga mara ,mbili asipokee inatosha, kama anakuthamini atakupigia baadaye

18. Kuwa mzuri katika kile unachofanya na kifanye kwa ubora kadri uwezavyo.[jitengenezee 18 zako ambazo mtu akiingia ameisha]

19. Tunza ahadi na utimize ahadi

20. Tunza utu wako

21. Shukuru kwa kila jambo

Ni hayo tu
ujumbe mzuri sana mkuu yani umepita kwenye Njia yangu kabisa.
 
Kamwe sijawahi kufanya hivyo,jibu lako lipo kwenye mzunguko uleule! Nizame Google nakupa mrejesho
 
Ahsante kwa muongozo mzuri sana...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
getty_119950179_104540.jpg

Salaam Wakuu,

Hii ndo namna bora ya kujitengenezea heshima.

1. Acha kuwaomba watu kila wakati. Acha kuwa ombaomba kwa marafiki

2. Acha kutafuta asiyekutafuta. Mtu kama anakukalia kimya nawe Mkalie kiya

3.Usiwe muongeaji sana bali msikilizaji

4. Usile chakula cha watu wengine zaidi ya wao wanavyokula chaula chako.

5. Punguza jinsi unavyowatembelea baadhi ya watu hasa pale wanapokuwa hawaonyeshi kujali unapowatembelea

6. Kumbuka kujitengenezea furaha yako, usitegemee furaha kutoka wa watu.

7. Acha kuendekeza umbea na kufuatilia mambo ya watu

8. Fikiri kabla ya kuzungumza. Asilimia 80 ya jinsi watu wanakutathimini kutokana na maneno yanayotoka kinywani mwako.

9. Kuwa mfanisi kwa kujishughulisha na lengo lako. Fuata mambo yako si ya wengine

10. Heshimu watu wote wakati wote.

11. Usikae kwenye uhusiano|mahusiano ambayo unadharauliwa kila mara.

12. Kuwa na hofu wakati mwingine. Sio kila kitu ujione unakimudu. Wasiwasi ndo akili

13. Uwe mtoaji zaidi kuliko mpokeaji. Jitahidi kutoa zaidi

14. Jifunze jinsi ya kutumia pesa yako mwenyewe kuliko kutumia pesa ya wengine

15. Usiende mahali ambapo Hujaalikwa na ukialikwa usikaribishe watu wengine.

16. Watendee watu jinsi wanavyostahili.

17. Usipigie mtu simu mara nyingi. Ukipiga mara ,mbili asipokee inatosha, kama anakuthamini atakupigia baadaye

18. Kuwa mzuri katika kile unachofanya na kifanye kwa ubora kadri uwezavyo.[jitengenezee 18 zako ambazo mtu akiingia ameisha]

19. Tunza ahadi na utimize ahadi

20. Tunza utu wako

21. Shukuru kwa kila jambo

Ni hayo tu
True say
 
getty_119950179_104540.jpg

Salaam Wakuu,

Hii ndo namna bora ya kujitengenezea heshima.

1. Acha kuwaomba watu kila wakati. Acha kuwa ombaomba kwa marafiki

2. Acha kutafuta asiyekutafuta. Mtu kama anakukalia kimya nawe Mkalie kiya

3.Usiwe muongeaji sana bali msikilizaji

4. Usile chakula cha watu wengine zaidi ya wao wanavyokula chaula chako.

5. Punguza jinsi unavyowatembelea baadhi ya watu hasa pale wanapokuwa hawaonyeshi kujali unapowatembelea

6. Kumbuka kujitengenezea furaha yako, usitegemee furaha kutoka wa watu.

7. Acha kuendekeza umbea na kufuatilia mambo ya watu

8. Fikiri kabla ya kuzungumza. Asilimia 80 ya jinsi watu wanakutathimini kutokana na maneno yanayotoka kinywani mwako.

9. Kuwa mfanisi kwa kujishughulisha na lengo lako. Fuata mambo yako si ya wengine

10. Heshimu watu wote wakati wote.

11. Usikae kwenye uhusiano|mahusiano ambayo unadharauliwa kila mara.

12. Kuwa na hofu wakati mwingine. Sio kila kitu ujione unakimudu. Wasiwasi ndo akili

13. Uwe mtoaji zaidi kuliko mpokeaji. Jitahidi kutoa zaidi

14. Jifunze jinsi ya kutumia pesa yako mwenyewe kuliko kutumia pesa ya wengine

15. Usiende mahali ambapo Hujaalikwa na ukialikwa usikaribishe watu wengine.

16. Watendee watu jinsi wanavyostahili.

17. Usipigie mtu simu mara nyingi. Ukipiga mara ,mbili asipokee inatosha, kama anakuthamini atakupigia baadaye

18. Kuwa mzuri katika kile unachofanya na kifanye kwa ubora kadri uwezavyo.[jitengenezee 18 zako ambazo mtu akiingia ameisha]

19. Tunza ahadi na utimize ahadi

20. Tunza utu wako

21. Shukuru kwa kila jambo

Ni hayo tu
😍
 
Back
Top Bottom