jinsi ya kujua kama una vvu bila kupima

jinsi ya kujua kama una vvu bila kupima

Will i.a.m

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
347
Reaction score
49
njia ni rahisi ni kuangalia mda wa majeraha uliyapata kama vile kidonda na nk ni mda gani mpaka kupona kwa mfano kidonda kwa kawaida kinatakiwa kichukue siku 1 mpaka 3 kupona kama kikubwa zaidi basi ni siku 5 mpka a7 ila kama kikichukua kama siku 10 na zaidi basi ujue kinga zao zinafanaya kazi ya kupamabana ana vvu hivyo zinashindwa kupambana vyema na vvu
 
njia ni rahisi ni kuangalia mda wa majeraha uliyapata kama vile kidonda na nk ni mda gani mpaka kupona kwa mfano kidonda kwa kawaida kinatakiwa kichukue siku 1 mpaka 3 kupona kama kikubwa zaidi basi ni siku 5 mpka a7 ila kama kikichukua kama siku 10 na zaidi basi ujue kinga zao zinafanaya kazi ya kupamabana ana vvu hivyo zinashindwa kupambana vyema na vvu

kama ni hivyo, watu wote duniani tunaishi na Vvu, kamwe huwezi kupona kidonda kwa siku moja au mbili. Ni bora ungesema ukifungwa jela ya Tanzania, Zambia au msumbiji kwa miaka 5 halafu ukaachiwa huru, ukiwa hai kwa miaka mingine 3-5 baada ya kifungo hapo utakuwa huna vvu.
 
njia ni rahisi ni kuangalia mda wa majeraha uliyapata kama vile kidonda na nk ni mda gani mpaka kupona kwa mfano kidonda kwa kawaida kinatakiwa kichukue siku 1 mpaka 3 kupona kama kikubwa zaidi basi ni siku 5 mpka a7 ila kama kikichukua kama siku 10 na zaidi basi ujue kinga zao zinafanaya kazi ya kupamabana ana vvu hivyo zinashindwa kupambana vyema na vvu
Acha uhuni mkuu, maana huu ni uhuni.
 
Subiri siku utakapopiga bam na boda boda tuone jeraha litachukua muda gani hadi ligeuke kovu ndio utajua yote
 
bullshit
unajua wound healing mechanism wewe?
Unajua mtu akiumia ni cell zipi zinafanya kazi kuziba jeraha wewe?
Umekurupuka vibaya sana
 
njia ni rahisi ni kuangalia mda wa majeraha uliyapata kama vile kidonda na nk ni mda gani mpaka kupona kwa mfano kidonda kwa kawaida kinatakiwa kichukue siku 1 mpaka 3 kupona kama kikubwa zaidi basi ni siku 5 mpka a7 ila kama kikichukua kama siku 10 na zaidi basi ujue kinga zao zinafanaya kazi ya kupamabana ana vvu hivyo zinashindwa kupambana vyema na vvu

Wewe utakuwa umejikanyaga mahali na unaogopa kwenda kupima. Kujipa matumaini unabuni mbinu za kujipima kwa macho au hisia. Kapime mkuu!
 
njia ni rahisi ni kuangalia mda wa majeraha uliyapata kama vile kidonda na nk ni mda gani mpaka kupona kwa mfano kidonda kwa kawaida kinatakiwa kichukue siku 1 mpaka 3 kupona kama kikubwa zaidi basi ni siku 5 mpka a7 ila kama kikichukua kama siku 10 na zaidi basi ujue kinga zao zinafanaya kazi ya kupamabana ana vvu hivyo zinashindwa kupambana vyema na vvu

We hii research umefanyia wapi?

Hata mikwaruzo haiponi kwa siku tatu,

Kama vidonda vikubwa vingepona kwa siku 7

Hata kusingekuwa na uhitaji wa madawa ya vidonda!!
 
mkuu acha kupotosha jamii wewe unafikiri kinachopunguza kinga ni vvu pekee yake kuna magonjwa kama saratani kisukari matumizi mabaya ya dawa kama steroid
 
Umevurugwa weunazani kila mtu wakumuongopea kwasababu eti njianyepesi yakujua dalil za vvu acha kukurubuka bro humu ndani tunataka mtu huandike ktuambacho unauakikanacho sio unalopoka jipange we njuka nini?
 
Njia nyingine, ni kumpa mkeo mimba. Akiipata lazima wakampime..kipimo chako hapo ni yeye...🙄🙄
 
Back
Top Bottom